yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,361 299 Aug 12, 2012 #1 sasa ww unafungua hapa ndio kusema huna dhambi wakati unaonekana kila baya kwako ndio ikulu.fuata maelekezo bana
sasa ww unafungua hapa ndio kusema huna dhambi wakati unaonekana kila baya kwako ndio ikulu.fuata maelekezo bana
M Maamuma JF-Expert Member Dec 22, 2008 848 303 Aug 12, 2012 #2 Nina hakika na nilichokifanya. Sina dhambi.
Inside10 JF-Expert Member May 20, 2011 26,060 23,941 Aug 12, 2012 #3 Swaumu asubuhi hii,hukula daku nn saa 11 alfajiri
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,138 16,203 Aug 12, 2012 #4 mimi nimefuata maelekezo yote
ChescoMatunda JF-Expert Member Jan 7, 2009 1,232 442 Aug 12, 2012 #5 Kweli waso dhambi wachacheee!!.... Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Aug 12, 2012 #6 Ingekuwa nina dhambi thread isingefunguka
yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,361 299 Aug 12, 2012 Thread starter #7 Inkoskaz said: Ingekuwa nina dhambi thread isingefunguka Click to expand... hahahahahahah.ww mtata kaka
Inkoskaz said: Ingekuwa nina dhambi thread isingefunguka Click to expand... hahahahahahah.ww mtata kaka
yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,361 299 Aug 12, 2012 Thread starter #8 Maamuma said: Nina hakika na nilichokifanya. Sina dhambi. Click to expand... uanonekana kabisa we ni kungwi
Maamuma said: Nina hakika na nilichokifanya. Sina dhambi. Click to expand... uanonekana kabisa we ni kungwi
Ruhazwe JR JF-Expert Member Jan 31, 2011 3,403 920 Aug 12, 2012 #9 ngoja nisome salio langu kwanza la dhambi nijue limebaki kias gan,then ntarudi kufungua hii thread
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,670 68,631 Aug 12, 2012 #12 Ukitaka JF i-shine basi Nyimamadogookumanga enhee nyimamadogookumanga!
Mtalingolo JF-Expert Member Aug 4, 2011 2,181 409 Aug 12, 2012 #13 Ingekuwa ukifanya dhambi unatoboka, nadhan mleta maada ungebakia chandarua.
Arushaone JF-Expert Member Mar 31, 2012 15,136 13,258 Aug 12, 2012 #14 Wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa mungu.. Verse from the bible.
M Maamuma JF-Expert Member Dec 22, 2008 848 303 Aug 12, 2012 #15 yaser said: uanonekana kabisa we ni kungwi Click to expand... Umenena vema. Nafunda kwa kutumia Biblia.
yaser said: uanonekana kabisa we ni kungwi Click to expand... Umenena vema. Nafunda kwa kutumia Biblia.
yaser JF-Expert Member Jan 23, 2012 1,361 299 Aug 12, 2012 Thread starter #17 Maamuma said: Umenena vema. Nafunda kwa kutumia Biblia. Click to expand... ile yeynye versions?
M Maamuma JF-Expert Member Dec 22, 2008 848 303 Aug 12, 2012 #19 yaser said: ile yeynye versions? Click to expand... Ili tusiende mbali na kwa kuepuka kuwakwaza wengine, nafuta sentensi ya pili kwenye post yangu #15. Asante kwa kunielewa.
yaser said: ile yeynye versions? Click to expand... Ili tusiende mbali na kwa kuepuka kuwakwaza wengine, nafuta sentensi ya pili kwenye post yangu #15. Asante kwa kunielewa.
The secretary JF-Expert Member Jan 14, 2012 4,149 2,536 Aug 13, 2012 #20 ngoshwe said: Utoto mwingi! Click to expand... kweli tena