Kama huna dem chuo.Itakula kwako

Jipange kwa kupiga msuli chuoni na sio kwenda kutafuta madem kwa kujionesha eti kama ww ndo una pesa wakati pesa zenyewe umekopeshwa na HESLB.
Kaa usome mapenzi utayakuta tu tatizo mnapenda mambo ya wakubwa zenu.

Ebwana huo ni ushaur mzur sna hasa kwa cc 2naoenda kuanza mwaka wa kwanza!BIG UP
 
Haya mambo ni muhimu bwana hata kwenye bustani ya Edeni mungu aliliona mapema tu
 
Ukipata mpenzi mwenye akili za kuzaliwa + za Elimu yake, chuo utafaidi balaa, utaona raha mchana na usiku, afu awe anaudhuria mazoezini kwa wakati wee! kocha ujasema, mchezaji huyu! yani masomo ni easy na kila siku ni safi yaani fresh, Muulize dani mimamo maana ya siku nzuri. namithi chuo miye

sawa sawa kaka ila utamjuaje sasa? si unajua wale jamaa kwa kuvaa ukondoo hawajambo.
 
sawa sawa kaka ila utamjuaje sasa? si unajua wale jamaa kwa kuvaa ukondoo hawajambo.

utamfahamu tu, kwa mfano mkiwa mnachukua degree mtakaa chuo miaka mi tatu minne wengine mpaka mi5, sasa usiwe na haraka semister ya kwanza tu demu, mtu wa ukweli atafahamika tu jenga naye urafiki wa karibu usio wa mapenzi kisha, unajua chuo ni kama home wazoee rafiki zake, nenda chumbani kwao mara kwa mara angalia wanavyoishi na wenzie na maisha ya kila siku, chuo makucha hayafichwi coz mtu hawezi ficha ubaya wake kwa mazingira yale mnayoishi utadhani mpo kitaa then utamfahamu tu. kishajipatie binti saaafi hata wa kuoa...this is from my experience, i got it when in university
 
Na hata ukipata demu usizame kwanza mstudy mana mtapata boom sawa anataka umpe wewe,na wengine wana watu kwao,ila kwa ushauri kua na demu ila cheza salama na usimpe kipaumbele mana akili ni nyenzo muhimu hapa na ndo lengo,
 
utamfahamu tu, kwa mfano mkiwa mnachukua degree mtakaa chuo miaka mi tatu minne wengine mpaka mi5, sasa usiwe na haraka semister ya kwanza tu demu, mtu wa ukweli atafahamika tu jenga naye urafiki wa karibu usio wa mapenzi kisha, unajua chuo ni kama home wazoee rafiki zake, nenda chumbani kwao mara kwa mara angalia wanavyoishi na wenzie na maisha ya kila siku, chuo makucha hayafichwi coz mtu hawezi ficha ubaya wake kwa mazingira yale mnayoishi utadhani mpo kitaa then utamfahamu tu. kishajipatie binti saaafi hata wa kuoa...this is from my experience, i got it when in university

mkuu sa uwanze kumfatilia dem mpka chumban kwao si utafel
 
mkuu sa uwanze kumfatilia dem mpka chumban kwao si utafel

aah, hapana kaka cjui maisha ya vyuo vingine, chuo changu mie nilichosoma, kama ni ratiba unajipangia weye mwenyewe kwani vipindi vinajirudia kwa wiki hata mara nne na wakati mwingine kwa ckum hivyo kwenye ile ratiba unachagua vipindi kulingana na muda wako, unajiachia hata kuanzia ijumaa free au hata alhamis, pili uwezi kosa muda wa ku sosholaizi mimi chuoni kwangu ulikuwepo mwingi tu, pia hata yeye akiwa kwa vipindi usiku pia mnakuwa huru kwenda popote...yani chuo c mateso wengi mnajua hilo labda uwe na kichwa cha diesel
 
Jipange kwa kupiga msuli chuoni na sio kwenda kutafuta madem kwa kujionesha eti kama ww ndo una pesa wakati pesa zenyewe umekopeshwa na HESLB.
Kaa usome mapenzi utayakuta tu tatizo mnapenda mambo ya wakubwa zenu.

Ushapigwa kibuti wewe............................!!
Wengine walitafuta fweza kabla ya kujiunga chuo..............................!1
 
Jipange kwa kupiga msuli chuoni na sio kwenda kutafuta madem kwa kujionesha eti kama ww ndo una pesa wakati pesa zenyewe umekopeshwa na HESLB.
Kaa usome mapenzi utayakuta tu tatizo mnapenda mambo ya wakubwa zenu.

Unazungumzia mapenzi au pesa, mbona sikuelewi?
 
utamfahamu tu, kwa mfano mkiwa mnachukua degree mtakaa chuo miaka mi tatu minne wengine mpaka mi5, sasa usiwe na haraka semister ya kwanza tu demu, mtu wa ukweli atafahamika tu jenga naye urafiki wa karibu usio wa mapenzi kisha, unajua chuo ni kama home wazoee rafiki zake, nenda chumbani kwao mara kwa mara angalia wanavyoishi na wenzie na maisha ya kila siku, chuo makucha hayafichwi coz mtu hawezi ficha ubaya wake kwa mazingira yale mnayoishi utadhani mpo kitaa then utamfahamu tu. kishajipatie binti saaafi hata wa kuoa...this is from my experience, i got it when in university

Sitaweza kwenda hata mara 1 labda awe hoi anaumwa.
 
Utakuta kamchezo kanaitwa ex,le kwa ud,room kwa demu ni kama class
 
Back
Top Bottom