Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,225
Nimetumia uturi YU for Men...mamsap huwa ananicheka...ananambia "ile pafyumu yako iliyokuwa inauzwa sh 650 za Tanzania unaikumbuka???"
Ebwanaeee! Bujibuji wewe ni noma. Umenikumbusha mbali sana
Ndio nini hiyo?
jua kali,kulikua na sabuni ya kufulia iliitwa "kwanga"