Kama hujui English unaweza kutongoza kweli?

SIku hizi nadhani simu hizi zimemaliza utamu kabsaa wa kutongoza maana demu ukimpigia kwenye simu ni km vile ushamloga, wala hutumii nguvu na ukikutana naye yaani unakuwa ushamaliza kila kitu wewe ni kwenda kumega tu hahaha, ndo maana siku hizi ma Yanki face tu face wanaogopa utaona anaomba namba ya simu halafu akiwa mbali ndo anapiga anaanza kubembeleza, na hayo mayai sasa yanatemewa humo humo hahaha

Hapo umemena, yaani sanaa ya kutongoza imepotea kabisa! Unakuta uko na girlfriend hata miaka miwili huujui mwandiko wake! Maana kila kitu ni kwenye simu na emails! Duh!

Zile barua tulizokuwa tunaandikia shule pale juu imeandika '' Open with a smile, close with a kiss'' wala hazipo tena!

Barua ndani imeanza kwa kuandikwa.....'' Hodi hodi mpenzi, tafadhali fungua mlango wa mapenzi''.
 
Hapo umemena, yaani sanaa ya kutongoza imepotea kabisa! Unakuta uko na girlfriend hata miaka miwili huujui mwandiko wake! Maana kila kitu ni kwenye simu na emails! Duh!

Zile barua tulizokuwa tunaandikia shule pale juu imeandika '' Open with a smile, close with a kiss'' wala hazipo tena!

Barua ndani imeanza kwa kuandikwa.....'' Hodi hodi mpenzi, tafadhali fungua mlango wa mapenzi''.


Ha ha ha ha, mkuu umenichekesha sana......
Tulikuwaga boardning enzi hizo tunakuelewa kbs!
 
Siku hizi kwa kina dada esp. maduu wamesahau kiswahili kabisa na baadhi yao hata hawajawahi kusafiri na kufika Nairobi achania mbali USA/EURO kwa mfano ukikutana na mdada mlimani city ukamuuliza kitu labda sehemu flani ni wapi? .... utasikia nafikiri(itakavyo tamkwa burudani tosha) keep right then ask s/body utakayemwona ila walikagakumove to new place i think wapo karibu(itakavyo tamkwa burudani tosha).

Ukimkuta ulievutiwa naye ukute unataka kumfahamu zaidi ataangusha swagger la kufa mtu, am busy right now labda na na nazani u-u-ngechukuwa or Y cant I get ur no. na na na nita I mean will call u right back nikiwa free, nafikiri itakuwa pouwa... is that ok with u? Maneno ni yakutafutaaaa mpaka anakata stimu. Ukimkuta aliyesoma ST. MAMA YETU ZILE ndio balaa kabisa.

Na wewe usipochangia kwa kutupa neno 1/2 ya kidhungu ushamkosa mtu baada ya miaka 5 ......sijui?
Aight.... C yaaaaaa...kisss!!!! YUKK:suspicious:
 
Furahi dada maisha mafupi sana ati

mie mtu akiniingilia na kiswahili..
halafu aniimbie hizo nyimbo tamu za Bongo..
aandike ka ngonjera kadogo cha kiswahili..
mmmhh hapo nayeyuka lol

kama kweli unajua kimombo ni sawa kukitumia kumtongoza mtu..
kama cha kubabaisha ni borea usijiumbueee..

ndo maana nilicheka sanaa yaani nilivyoosoma hii thread yako dear..
 
mie mtu akiniingilia na kiswahili..
halafu aniimbie hizo nyimbo tamu za Bongo..
aandike ka ngonjera kadogo cha kiswahili..
mmmhh hapo nayeyuka lol

kama kweli unajua kimombo ni sawa kukitumia kumtongoza mtu..
kama cha kubabaisha ni borea usijiumbueee..

ndo maana nilicheka sanaa yaani nilivyoosoma hii thread yako dear..

ha ha ha basi we poa sana kuna jamaa huku juzi niliona thread moja hivi anashusha mashairi ngoja niitafute ile ni ku hook up nae
 
ha ha ha basi we poa sana kuna jamaa huku juzi niliona thread moja hivi anashusha mashairi ngoja niitafute ile ni ku hook up nae

hahahahah lol
Anaitwa Magulumangu..
niliyasoma yote na senks kibao lol
hahahahah
mie kweli mtu anaendandika poem/ mashairi mmmhhhhhh
acha tu dear lol

lakini mie tayari nina TF ...lol
 
Siku hizi kwa kina dada esp. maduu wamesahau kiswahili kabisa na baadhi yao hata hawajawahi kusafiri na kufika Nairobi achania mbali USA/EURO kwa mfano ukikutana na mdada mlimani city ukamuuliza kitu labda sehemu flani ni wapi? .... utasikia nafikiri(itakavyo tamkwa burudani tosha) keep right then ask s/body utakayemwona ila walikagakumove to new place i think wapo karibu(itakavyo tamkwa burudani tosha).

Ukimkuta ulievutiwa naye ukute unataka kumfahamu zaidi ataangusha swagger la kufa mtu, am busy right now labda na na nazani u-u-ngechukuwa or Y cant I get ur no. na na na nita I mean will call u right back nikiwa free, nafikiri itakuwa pouwa... is that ok with u? Maneno ni yakutafutaaaa mpaka anakata stimu. Ukimkuta aliyesoma ST. MAMA YETU ZILE ndio balaa kabisa.

Na wewe usipochangia kwa kutupa neno 1/2 ya kidhungu ushamkosa mtu baada ya miaka 5 ......sijui?
toka nijiunge hapa jf mwaka 2006...hii ni moja ya post ambayo imenichekesha sana kwa sababu hhili jambo lishawahi kunitokea yaani kama ulikuwepo mkuu nguli jabali
 
hahahahah lol
Anaitwa Magulumangu..
niliyasoma yote na senks kibao lol
hahahahah
mie kweli mtu anaendandika poem/ mashairi mmmhhhhhh
acha tu dear lol

lakini mie tayari nina TF ...lol

ha ha ha ndio yeye jina lake tofauti na mashairi yake, umesema tayari una TF maana yake nini?

Mimi nilimpataga my wife wangu mwenyewe kwa kumwandikia mistari ya hardcore hip hop :)
 
toka nijiunge hapa jf mwaka 2006...hii ni moja ya post ambayo imenichekesha sana kwa sababu hhili jambo lishawahi kunitokea yaani kama ulikuwepo mkuu pdidy

Mimi Ni Nguli Jabali
 
ha ha ha ndio yeye jina lake tofauti na mashairi yake, umesema tayari una TF maana yake nini?

Mimi nilimpataga my wife wangu mwenyewe kwa kumwandikia mistari ya hardcore hip hop :)

mmmh hiyo safi sana dear..
mimi bado napenda ile style ya zamani ya kutongozwa hahah lol
barua, poem/mashairi na vitu kama hivyo..
tena kwa lugha ya kiswahili ndo tamu zaidi lol

nilimaanisha niko na The Finest lol
 
Back
Top Bottom