Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
katka pita pita zangu one day niliwahi kunasa kwa mtoto mmoja, tulipoanza kuongea tu nilichoka mwenyewe, kingeredha mtoto analonga kama nini, halafu kingi ni kile kilichovunjka (broken)!
akadhani mi ni mlugaluga nikamshushia cha ukweli mara akaanza, sor! were u born in tanzania?!
wengi wanazingua sana, na ukikutana na wa aina hii kuwapata huwa ni rahisi sana just like to push a drunkerd from a steep slope whose gradient is at infinity!!!
akadhani mi ni mlugaluga nikamshushia cha ukweli mara akaanza, sor! were u born in tanzania?!
wengi wanazingua sana, na ukikutana na wa aina hii kuwapata huwa ni rahisi sana just like to push a drunkerd from a steep slope whose gradient is at infinity!!!