Lawrence Luanda
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 703
- 75
Tutakuja kujuta siku moja tunapofikiri kutumia dini/kabila zetu
9. Mtoto wa kike wa Mzindakaya = Mbunge
10. Mtoto wa kiume wa Mzindakaya = Rafiki ya Prince kawa mkuu wa Wilaya
11.Mtoto wa Mwinyi = Ni Mbunge wa Afrika ya Mashariki
12. Mtoto wa Malecela = Katibu kata Kivukoni
13.Mtoto wa Makamba = Naibu waziri
14. Mtoto wa Makamba = Mkurugenzi VODACOM
Du bora ww wa Kiborloni nigawie na mm nishushie na Safari, maana UDINI umeshaanza na Topic humu hakuna tena leo
1.hussein mwinyi waziri wa afya=mtoto wa ally hassan mwinyi.
2.vita kawawa na dada wake wabunge wa ccm =watoto wa rashid kawawa.
3. David matayo mbunge na naibu waziri wa ccm=mtoto wa cleopa msuya.
4.binti wa sokoine mbunge ccm arusha=mtoto wa edward sokoine.
5.mtoto wa bilali mbunge wa east africa ccm=mtoto makamu wa rais bilal.
6.makongoro nyerere=mtoto wa nabii wetu wa tanzania nyerere.
7.nape nauye katibu mwenezi ccm=babake ni nnauye alikua kada wa cnaomba mwenye majina zaidi atujuzecm.
8.mtot wa getrude mongela ni mkuu wa wilaya moja tz.
nape anapowasema chadema kwamba ni chama cha ukoo hapo juu vipi ?
duhh bado wiliam malecela anavutiwa pumzi,ila mm naona ndo system ya nchi nyingi duniani tusilaumu sana sema wao ccm wanatumia njia ya ukabila na udini kukibomoa chadema lakini si wote walio chadema ni wachaga,hii dhana ya udini ndo mbinu walioitumia kuiua cuf,.......ni maono tu usjenge chuki
sasa wao ccm kama ni udini ndo umewajaa kama inavyoelezea thread hapo juu kuanzia rais mpaka vinaga ubaga nape huku waislam
Tuwekeeni na wabunge wa viti maalum chadema ili tupime wapi kunafaa'maana wote mko sawa tu ccm na cdm undugunaizesheni umejaa sana tu
mkuu funguka kwa hiyo unataka tuelewe nn hapo???Niko maeneo ya kiborilon napata kitimoto rost/mbuzi katoliki ila mahudhurio sio mazuri tangu jmosi.
15.Sitta na mke wake wote wabunge
16.Adam malima mtoto wa malima mzee
17.Malecela na mkwe wake
1.kikwete muislam.
2.bilali makamu wa rais muislam.
3.jaji mkuu othman chande muislam.
4.mkuu wa polisi said mwema muislam.
5.mkuu wa usalama wa taifa othman muislam.
6.nape nauye katibu mwenyezi wa ccm muislam.
7.mwenyekiti wa uwt sophia simba muislam .
TATIZO NI WAO WAO WENYEWE SIO DINI ZAO UKIWAONGEZA HUMO .
PINDA.
MUKAMA.
ANA MAKINDA
MWANASHERIA MKUU WA TANZANIA.
MKUU WA MAJESHI
PIUS MSEKWA.
HAWA WOTE TUNAWALAUMU KWA UTENDAJI WAO NI WAZANDIKI WAFILISI WA TAIFA LETU WALA RUSHWA,WAUZAJI WA TAIFA LETU WATUMIAJI UBABE LAKINI NI UFISADI WAO NDIO TUNAOULAANI SIO DINI ZAO.NA SASA CCM KWA KUSHIRIKIANA NA CUF NA WANAUAMSHO WANA AJENDA YA KUTUMIA UKRISTO NA UCHAGA KUWAHADAA WATANZANI POLENI CCM,CUF NA WANAUAMSHO.NATOA HOJA
dawa 2kiwachapa nyie makafiri ndo mtatuheshmu
dawa 2kiwachapa nyie makafiri ndo mtatuheshmu
Wange....wangesema lakini wewe ndio umeshasema sasa sijui tukuelewe vipi..mdini au?
1.kikwete muislam.
2.bilali makamu wa rais muislam.
3.jaji mkuu othman chande muislam.
4.mkuu wa polisi said mwema muislam.
5.mkuu wa usalama wa taifa othman muislam.
6.nape nauye katibu mwenyezi wa ccm muislam.
7.mwenyekiti wa uwt sophia simba muislam .
TATIZO NI WAO WAO WENYEWE SIO DINI ZAO UKIWAONGEZA HUMO .
PINDA.
MUKAMA.
ANA MAKINDA
MWANASHERIA MKUU WA TANZANIA.
MKUU WA MAJESHI
PIUS MSEKWA.
HAWA WOTE TUNAWALAUMU KWA UTENDAJI WAO NI WAZANDIKI WAFILISI WA TAIFA LETU WALA RUSHWA,WAUZAJI WA TAIFA LETU WATUMIAJI UBABE LAKINI NI UFISADI WAO NDIO TUNAOULAANI SIO DINI ZAO.NA SASA CCM KWA KUSHIRIKIANA NA CUF NA WANAUAMSHO WANA AJENDA YA KUTUMIA UKRISTO NA UCHAGA KUWAHADAA WATANZANI POLENI CCM,CUF NA WANAUAMSHO.NATOA HOJA