Kwa moderm za ttcl yote unaona na kupokea na huduma nyinginezo kama za simu ila kwa kuongea hakikisha computer yako ina microphone au waweza kuplug headphones zenye microphone wakati wa kuongea.
kuna baadhi ya modem hazina trouble kama hy mfano walizoorodhesha wenzangu mfano zantel,ttcl mara nyingi hizi ni ZTE hvyo dashboard yake inakua na CALL option tho kuna za HUAWEI kama e173 n.k mpaka u update dashboard yake ndo utapa calling option!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.