mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
hapo kinachoinishangaza ni kauli ya polisi kuomba victim wa ujambazi ahamishwe wao wanaendelea kumtafuta mhalifu, huyo victim kosa lake nini hadi anahamishwa why hao polisi wasimlinde akiwa kwake what if asingekuwa na sehemu nyingine ya kuishi? Mwakyoma anaprove jeshi kushindwa kutimiza wajibu wake anapaswa kuondoka mara moja