Chibenambebe
Senior Member
- Mar 27, 2012
- 148
- 25
Kama wao ambao ndo wanamamlaka ya kusimamia sheria na ndo wanakuwa wa kwanza kuzivunja,Je wanaweza kumsimamia mwananchi wa kawaida kweli? Angalia mwenyewe na uongezee makosa waliyo kiuka.
1. Wako kwenye mshikaki
2. Jamaa wa kati hana helmet
1. Wako kwenye mshikaki
2. Jamaa wa kati hana helmet