Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
TATIZO KUBWA LA WATANZANIA NI KUTOJITAMBUA, TUNAKWENDA NA WIMBO ULIOPO NA SI UHALISIA WA MATATIZO YETU NA JINSI ZA KUYAFUMBUA! TUNAKARIRI HARAKA KILA WIMBO MPYA BILA KUTAMBUA ALA ZAKE. INASIKITISHA SANA, LAKINI HATUJACHELEWA....
Lazima tujue nini maana ya SIASA, na lazima pia utambue nini maana ya VYAMA! Leo hii nimeamua kuviita vyama vyetu vya siasa Tanzania kuwa ni VYAMA TAKATAKA, Havina tija wala faida kwa raia wa Tanzania bali maslahi yao binafsi. Vyama ambavyo kusimama kwake kunategema kina fulani na si wanachama na mashabiki wake... vyama ambavyo vinakua na kudumaa kwa msimu kama mazao katika masika na kiangazi! VYAMA TAKATAKA ambavyo hakuna hata kimoja chenye uchungu na maisha ya Watanzania na nchi yenyewe. Mradi wakishiba wao wanatuletea maneno yasiyo na tija.. "fulani yuko vile, tukio lile liko hivi!!" hivi tutakwenda hivi mpaka lini? Siasa ni MAISHA! lakini wanasiasa wa Tanzania wanafanya kuwa SIASA NI MAIGIZO! ndio maana sishangai WABUNGE Wanashindana sasa kupeleka watu kwa "babu" si wa chama kile wala vyama hivi! maana huu ni msimu wao wa kuvuna! kwa sababu ya ADUI MARADHI watanzania wote ni WAGONJWA! kwa sababu ya adui UJINGA watanzania tumetopea kwenye lindi la UJINGA! Wameshatutoa kwenye hoja za msingi kuhusu DOWANS, JANGA LA UMEME, NJAA inayokuja, UMASKINI, MARADHI, ELIMU DUNI, sasa tuna wimbo mpya wa LOLIONDO! sijui baada ya wimbo huo ni upi utakaofuata! (tumekuwa kama wabrazil sasa! na kwa hakika tunakoelekea tutafanana nao kila kitu....
Ndugu zangu, tatafute darubini ili tuone mbali, la si hivyo basi kizazi hiki kiangamizwe ili kianze kizazi kipya.
Ahsanteni
Lazima tujue nini maana ya SIASA, na lazima pia utambue nini maana ya VYAMA! Leo hii nimeamua kuviita vyama vyetu vya siasa Tanzania kuwa ni VYAMA TAKATAKA, Havina tija wala faida kwa raia wa Tanzania bali maslahi yao binafsi. Vyama ambavyo kusimama kwake kunategema kina fulani na si wanachama na mashabiki wake... vyama ambavyo vinakua na kudumaa kwa msimu kama mazao katika masika na kiangazi! VYAMA TAKATAKA ambavyo hakuna hata kimoja chenye uchungu na maisha ya Watanzania na nchi yenyewe. Mradi wakishiba wao wanatuletea maneno yasiyo na tija.. "fulani yuko vile, tukio lile liko hivi!!" hivi tutakwenda hivi mpaka lini? Siasa ni MAISHA! lakini wanasiasa wa Tanzania wanafanya kuwa SIASA NI MAIGIZO! ndio maana sishangai WABUNGE Wanashindana sasa kupeleka watu kwa "babu" si wa chama kile wala vyama hivi! maana huu ni msimu wao wa kuvuna! kwa sababu ya ADUI MARADHI watanzania wote ni WAGONJWA! kwa sababu ya adui UJINGA watanzania tumetopea kwenye lindi la UJINGA! Wameshatutoa kwenye hoja za msingi kuhusu DOWANS, JANGA LA UMEME, NJAA inayokuja, UMASKINI, MARADHI, ELIMU DUNI, sasa tuna wimbo mpya wa LOLIONDO! sijui baada ya wimbo huo ni upi utakaofuata! (tumekuwa kama wabrazil sasa! na kwa hakika tunakoelekea tutafanana nao kila kitu....
Ndugu zangu, tatafute darubini ili tuone mbali, la si hivyo basi kizazi hiki kiangamizwe ili kianze kizazi kipya.
Ahsanteni