- Thread starter
- #21
Ndo nilitaka majibu ya hoja yangu yajikite kutoka hapo.CDM watakua kama Obama basi nia nzuri lakini hamna vitendea kazi na kwa hiyo kero na lawama zitaendelea...nafikiri hata kukopa sasa hatuwezi tena hizi IMF,WB ambazo ni short term solution ila long term financial and economic slavery....kazi kweli kweli hii nchi