Watanzania pamoja na kuwa na mapambano na ufisadi ni lazima tuwe wa wazi na watu wenye kufuata sheria kama tuntaka maendeleo ya nchi yetu. Mimi sielewi hili swala kwa kina sana lakini kama mambo yako kama ninavyofikiria chini basi inabidi Dowans walipwe.
1. Kama malipo ni ya huduma tu iliyotelewa. Hii ni umeme uliouzwa kwa Tanesco kwa rate ambayo walikubaliana.
2. Hakuna kulipa riba wala pesa ya kukatisha mkataba.
Hatuwezi kukutaa kuwalipa Dowans kwa huduma waliyoitoa wakati tunawalipa kampuni nyingine. lakini malipo yasihusishe riba ya deni na faini nyingine kama za Lawyer na kutatisha mkataba. Hatuwezi kuwa na serikali inayo rusha watu haki zao hata kama mkataba ulikuwa badili Tanesco isingenunua umeme. Mfano kama kuna kituo cha mafuta ambacho kinafanya kazi bila kibali serikali inatakiwa kukifunga na kupiga faini lakini sio kuchukua mafuta ya kituo hicho bila malipo hiyo siyo sheria.
1. Kama malipo ni ya huduma tu iliyotelewa. Hii ni umeme uliouzwa kwa Tanesco kwa rate ambayo walikubaliana.
2. Hakuna kulipa riba wala pesa ya kukatisha mkataba.
Hatuwezi kukutaa kuwalipa Dowans kwa huduma waliyoitoa wakati tunawalipa kampuni nyingine. lakini malipo yasihusishe riba ya deni na faini nyingine kama za Lawyer na kutatisha mkataba. Hatuwezi kuwa na serikali inayo rusha watu haki zao hata kama mkataba ulikuwa badili Tanesco isingenunua umeme. Mfano kama kuna kituo cha mafuta ambacho kinafanya kazi bila kibali serikali inatakiwa kukifunga na kupiga faini lakini sio kuchukua mafuta ya kituo hicho bila malipo hiyo siyo sheria.