Kama CHADEMA ina wabunge vilaza kama hawa? Hawafai nchi!

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
May 24, 2008
10,942
428
Wana jamvi, nimemtazama Esther Matiku akichangia muswada wa sheria ya manunuzi, akijimung'unyamung'unya maneno na kunukuu pasi kuwa na hoja hadi muda wake wa kuzungumza unaisha hana hoja aliyozungumza.

MY TAKE; Kama CDM itakuwa an wabunge vilaza kama hawa na wakajilazimisha kuongea katika bunge ni wazi wanaonyesha namna chama hiki kisivyofanya utafiti wa kina wa aina ya mawazo watanzania wanataka kusikia katika kizazi cha leo.

Mwisho inawezekana idadi ya wabunge wa CDM itapungua katika uchaguzi ujao.
 
Changia katika hoja iliyopo hao wengine wawasilishe wewe mimi nimemuona hoyo kilaza kwa hiyo pinga hoja na sio kutoa lugha za matusi.
 
Unatumia masaburi gani kufikiria? ni bora vilaza 3 wa CDM kuliko 250 wa poliCCM wale ni zaidi ya Viwaza ni madebe kabisa
 
ccm bwana ...yaani kuwa shabiki wa ccm unatakiwa **** na roho na akili kama mwendawazimu hivi ...
 
Amesimama kuzungumza kuchangia hoja na kuanza kunukuu kila baada ya dakika na pasipo kuonyesha anasimamia hoja gani. Naomba waliomtazama wachangie na wengine tuachieni mjadala na hoja hii haina itikadi hapa.
 
Wana jamvi, nimemtazama Esther Matiku akichangia muswada wa sheria ya manunuzi, akijimung'unyamung'unya maneno na kunukuu pasi kuwa na hoja hadi muda wake wa kuzungumza unaisha hana hoja aliyozungumza. MY TAKE; Kama CDM itakuwa an wabunge vilaza kama hawa na wakajilazimisha kuongea katika bunge ni wazi wanaonyesha namna chama hiki kisivyofanya utafiti wa kina wa aina ya mawazo watanzania wanataka kusikia katika kizazi cha leo. Mwisho inawezekana idadi ya wabungfe wa CDM itapungua katika uchaguzi ujao.
Tatizo sio mbunge alie changia hoja bungeni, tatizo lipo ktk uwezo wako mdogo wa kuelewa mambo. Unashindwa kuelewa hoja unaamua kujipendekeza CCM kwa kuandika upupu wako hapa. Watu wa aina yenu mnatakiwa mfe tu.
 
basi huyu ndio mwenye akili na asie kilaza
268647_2300845959501_1199739939_32765643_2552099_n.jpg
 
Wana jamvi, nimemtazama Esther Matiku akichangia muswada wa sheria ya manunuzi, akijimung'unyamung'unya maneno na kunukuu pasi kuwa na hoja hadi muda wake wa kuzungumza unaisha hana hoja aliyozungumza. MY TAKE; Kama CDM itakuwa an wabunge vilaza kama hawa na wakajilazimisha kuongea katika bunge ni wazi wanaonyesha namna chama hiki kisivyofanya utafiti wa kina wa aina ya mawazo watanzania wanataka kusikia katika kizazi cha leo. Mwisho inawezekana idadi ya wabungfe wa CDM itapungua katika uchaguzi ujao.

Pumba hizi
 
Muda Mwingine Tuache Ushabiki Wa Kisiasa, So CDM Wapo Sawa Kwa Kila Kitu,.Mi Mwenyewe Ni Mwanachama Wa CDM,.Nimemcheki Ila Nilisikia Aibu Ya Kuendelea Kumuangalia, Hamna La Maana Alilochangia Zaidi Ya Kujiumauma!? Na Hii Si Mara Ya Kwanza Kuongea Pumba. Nadhani ndo Matatizo Ya Viti Maalumu, Af Ndo Alikuwa Ass. lecturer UDSM, Kwa Mtindo Huo Sijui Darasani Alikuwa Ana Lecture Nini!?
 
Changia katika hoja iliyopo hao wengine wawasilishe wewe mimi nimemuona hoyo kilaza kwa hiyo pinga hoja na sio kutoa lugha za matusi.
You are right, but I'm afraid that in our bunge with CCM majority no body cares when genuine argumentations are made. We seen several of the opposition MPs with good arguments but they were let down by their own people. So the issue is not how she presents her aruguments but how the majority CCM will pass the bill. Will the Speak say " wanaounga mkono hoja waseme ndiyooooo" or what? I'm doubting our Bunge in passing very crucial Bills.
 
Back
Top Bottom