PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Ccm bado ina nguvu kubwa sana, cdm wamejikita mijini tena mikoa mitano tu kati ya mikoa 29 wewe hapo unategemea nini? Tatizo la viongozi wa cdm hawashauriki tangu tuwaambie waende vijijini hawaelewi.
Ungukuwa mfatiliaji wa mambo usinge andika hivi.