EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
- Thread starter
- #21
Ni Vinega wepi unaowaongelea wewe!!?? sheria ya hati miliki ipo na wanaohusika na mambo ya hati miliki ni BASATA nasio Ruge wala Clouds. Hivi kama kitu hujui ni kwa nini usikae kimya au ni kwa nini usiulize? huu ushamba mwingine ni wa kijinga sana.
kwani bila matusi huwezi jenga hoja mkuu !
Najua basata ndo wanadeal na iyo ishu ila jitaidi utafute alichokisema k wa maujanja ndio uje tena !