EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
salam kwenu wadau !
Nimejikuta nikimfananisha sugu kwa kumuita ruge b kwa kutizama maoni ya wadau wengi wanaolaumu kwa maamuzi aliyochukua ndg j. Mbilinyi kwa kuungana na mh. Ruge.
Wengi wanaona sugu alitumia nguvu ya umma kwa ugomvi binafsi.
Japokuwa vinega wanasema watu wengi hawajaelewa, swali langu je nani alipaswa kuwaelewesha watu hao !
Nimejikuta nikimfananisha sugu kwa kumuita ruge b kwa kutizama maoni ya wadau wengi wanaolaumu kwa maamuzi aliyochukua ndg j. Mbilinyi kwa kuungana na mh. Ruge.
Wengi wanaona sugu alitumia nguvu ya umma kwa ugomvi binafsi.
Japokuwa vinega wanasema watu wengi hawajaelewa, swali langu je nani alipaswa kuwaelewesha watu hao !