dfreym
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 342
- 87
kwanza nashukuru sana kwa msaada wako wa kiufundi kwani nimeweza kumuondoa mdudu wa vodafone mobile lite kwenye modem yangu ya vodafone mobile connect HSDPA USB STICK K3565-Z, na kumuweka JOIN AIR.
kiufupi line zote almost zinafanya kazi.
tatizo nimeexperiace shida kwenye line ya airtel
line hii, nikiiweka kwenye modem inaonesha network za mitandao miwili yaani UMTS na EDGE.
TATIZO kwenye network ya edge inawaka taa nyekundu badala ya kijani.
UMTS yenyewe inawaka taa ya blue kama kawaida. ila kwa mitandao yote hiyo miwili nikijaribu kuconnect inafail na kuniambia "connect fail"
nimejaribu nimeshindwa. kifupi line ya airtel inakataa. nimejaribu line zaidi ya moja ya air tel majibu ni yaleyale.
sa sijui nifanyeje kwani airtel si unajua ndo ze cheapest network!
KAMA KUNAMTU YOYOTE MWENYE UELEWA WA TATIZO HILI ANAWEZA KUNISAIDIA PIA.
kiufupi line zote almost zinafanya kazi.
tatizo nimeexperiace shida kwenye line ya airtel
line hii, nikiiweka kwenye modem inaonesha network za mitandao miwili yaani UMTS na EDGE.
TATIZO kwenye network ya edge inawaka taa nyekundu badala ya kijani.
UMTS yenyewe inawaka taa ya blue kama kawaida. ila kwa mitandao yote hiyo miwili nikijaribu kuconnect inafail na kuniambia "connect fail"
nimejaribu nimeshindwa. kifupi line ya airtel inakataa. nimejaribu line zaidi ya moja ya air tel majibu ni yaleyale.
sa sijui nifanyeje kwani airtel si unajua ndo ze cheapest network!
KAMA KUNAMTU YOYOTE MWENYE UELEWA WA TATIZO HILI ANAWEZA KUNISAIDIA PIA.