Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Kama baba akiwa dereva na mtoto anakuwa...derevaaaa!!!!
baba akiwa Daktari na mtoto anakuwa ..........daktariiiiii!!!
Baba akiwa mpiga debe wa Mbagala kawe na mtoto lazima awe......Mpiga debe wa Tandale G/mboto!!!!....
Kama baba akiwa mdokozi na mtoto anakuwa........kibaka!!!.......
Baba akiwa kuli na mtoto lazima awe.......Kuli tena mpaka anakufa....!!!
Sasa kuna ajabu gani kwa Siyoi kurithi kazi ya baba yake?.......watu...... hakuna ajabu!!!!!
He!.....Kumbe wana-arumeru wao wameamini kubadilisha mwelekeo.....
Safi sana wana arumeru....
Nampenda sana Lusinde...ni CDM damudamu ndio maana aliamua kwenda kuvuruga system....
baba akiwa Daktari na mtoto anakuwa ..........daktariiiiii!!!
Baba akiwa mpiga debe wa Mbagala kawe na mtoto lazima awe......Mpiga debe wa Tandale G/mboto!!!!....
Kama baba akiwa mdokozi na mtoto anakuwa........kibaka!!!.......
Baba akiwa kuli na mtoto lazima awe.......Kuli tena mpaka anakufa....!!!
Sasa kuna ajabu gani kwa Siyoi kurithi kazi ya baba yake?.......watu...... hakuna ajabu!!!!!
He!.....Kumbe wana-arumeru wao wameamini kubadilisha mwelekeo.....
Safi sana wana arumeru....
Nampenda sana Lusinde...ni CDM damudamu ndio maana aliamua kwenda kuvuruga system....