stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,765
- 22,762
Once you know them you live stress free life,lakini ukijifanya wewe ni wale wa "uko wapi"niko na jamaa yangu tunapiga story kidogo "nikifika nyumbani nikukute"mzee unaaga unakimbilia home,we ujuwe imekula kwako.1,3,4,7,9,10 sitakuja kusahau ndio zilikuwa sifa za girlfriend wangu wa kwanza,alikuwa mpare aisee alikuja kunikata wenge vibaya mno...Nashukuru mungu lilikuwa funzo kwangu na baada ya ku recover tangu hapo nilipata kumjua mwanamke ni kiumbe wa namna gani na ni jinsi gani natakiwa niishi nae, sahivi ni bata tu kilio nimekihamishia kwao! Got non to lose but they virginity