wanaJF, jana nilipitia hapa KAM Dispensary (jirani na Amana hospital) kucheki Malaria.
Nikiwa maabara nilimsikia mhudumu wa hapo akilalamika kuwa hawana maji ya bomba wala kwenye chombo chochote ya kuwawezesha kufanya shughuli zao vizuri na wameshalalamikia uongozi wao zaidi ya juma (week) moja bila mafanikio. Upimaji unaendelea na mimi walinipima pia ila sikuzingatia majibu yao kwa kuwa tayari nilishachefuka.
Mwaka jana walifungiwa sikujua ni kwa kosa gani pakafunguliwa baada ya muda mfupi.
Je naweza kushtaki/kueleza/kulalamika wapi kuhusu hili?
Je kwa mtindo huu si unaweza kukutwa na ugonjwa kumbe ni wa mwingine sio wako? Maana swala la usafi tayari ni mgogoro.
Ni nani wakaguzi wa hizi ofisi?
Nawasilisha.
Nikiwa maabara nilimsikia mhudumu wa hapo akilalamika kuwa hawana maji ya bomba wala kwenye chombo chochote ya kuwawezesha kufanya shughuli zao vizuri na wameshalalamikia uongozi wao zaidi ya juma (week) moja bila mafanikio. Upimaji unaendelea na mimi walinipima pia ila sikuzingatia majibu yao kwa kuwa tayari nilishachefuka.
Mwaka jana walifungiwa sikujua ni kwa kosa gani pakafunguliwa baada ya muda mfupi.
Je naweza kushtaki/kueleza/kulalamika wapi kuhusu hili?
Je kwa mtindo huu si unaweza kukutwa na ugonjwa kumbe ni wa mwingine sio wako? Maana swala la usafi tayari ni mgogoro.
Ni nani wakaguzi wa hizi ofisi?
Nawasilisha.