S sikujua Member Feb 23, 2010 8 0 Jun 23, 2010 #21 hvi na Omar aliyekuwa mkuu wa chuo cha Diplomasia amepelekwa wapi? kwani naona kapelekwa mtu mwingine
hvi na Omar aliyekuwa mkuu wa chuo cha Diplomasia amepelekwa wapi? kwani naona kapelekwa mtu mwingine
K Kekuye Senior Member Jun 28, 2009 116 0 Jun 23, 2010 #22 sikujua said: hvi na Omar aliyekuwa mkuu wa chuo cha Diplomasia amepelekwa wapi? kwani naona kapelekwa mtu mwingine Click to expand... Aliteuliwa balozi Saudi Arabia.
sikujua said: hvi na Omar aliyekuwa mkuu wa chuo cha Diplomasia amepelekwa wapi? kwani naona kapelekwa mtu mwingine Click to expand... Aliteuliwa balozi Saudi Arabia.
M Marigwe JF-Expert Member Nov 28, 2009 228 18 Jun 23, 2010 #23 Wewe Mwanakijiji na wenzenu yaani mnayoyaeleza mengi ni pumba tupu. Yaani mwatia kichefuchefu haswa aagh
Wewe Mwanakijiji na wenzenu yaani mnayoyaeleza mengi ni pumba tupu. Yaani mwatia kichefuchefu haswa aagh
W WildCard JF-Expert Member Apr 22, 2008 7,506 2,409 Jun 24, 2010 #24 S. S. Phares said: Vigezo gani unatumia kuweza kujiamini na kusema fulani alikuwa Balozi mzuri wa Tanzania? Click to expand... Mlinganishe na Mahalu, Mpungwe, Ali Karume,.....utapata jibu.
S. S. Phares said: Vigezo gani unatumia kuweza kujiamini na kusema fulani alikuwa Balozi mzuri wa Tanzania? Click to expand... Mlinganishe na Mahalu, Mpungwe, Ali Karume,.....utapata jibu.