yule straika hatari wa yanga ya daressalaam aliyetoa mchango mkubwa kule kampala, uganda na kupelekea yanga kuchukua ubingwa wa afrika mashariki na kati mwaka 1999 yupo wapi kwa sasa?
Huwa yule dogo alikuwa akinivutia sana staili yake ya uchezaji.
Mara ya mwisho nilisikia alikuwa akichezea timu ya daraja la kwanza kule sweden ,tena kuna kipindi fulani niliona kupitia mtandao alikuwa kama sio leading score wa timu yake basi alikuwa leading score wa ligi yenyewe(sikumbuki vizuri mwenye data anisahihishe).
Hata kipindi fulani maximo alitaka kumuita naamini angetoa mchango mkubwa kwa taifa stars.