Jana niliona kipindi hicho kwa sehemu. Muigizaji huyo alisema kwa kuwa,watu hutafuta viungo vya binadamu wenzao (kucha,ngozi,vichwa,viganja) kwa maelekezo ya waganga wa jadi,basi ili kukomesha hili jamii kwa mtindo ule ule wa hear say,ivumishe kuwa viungo vya waganga wa kienyeji dili sana ktk biashara. Hapo mtaona moto wake.
Jf mpo hapo,mathalani iwe ukipata macho ya mganga wa kienyeji utakuwa na uwezo wa kuona madini yalipo bila taabu,kama yeye aonavyo.
Jf mpo hapo,mathalani iwe ukipata macho ya mganga wa kienyeji utakuwa na uwezo wa kuona madini yalipo bila taabu,kama yeye aonavyo.