HekimaMoyoni
Member
- Dec 9, 2010
- 55
- 18
wana JF, imeikuta hii mahali nikaona niwawekee...
Palitokea mkutano wa madactari bingwa kutoka nchi 3 China, Ujerumani, na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa na nchi zao. Mchina akaanza kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamuwekea mkono na sasa ni mpiganaji wa karate .. Mjerumani hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji wa olimpiki na ana medali tatu za dhahabu
Mtanzania akacheka akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu sisi hapo bagamoyo alizaliwa kijana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni rais
Palitokea mkutano wa madactari bingwa kutoka nchi 3 China, Ujerumani, na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa na nchi zao. Mchina akaanza kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamuwekea mkono na sasa ni mpiganaji wa karate .. Mjerumani hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji wa olimpiki na ana medali tatu za dhahabu
Mtanzania akacheka akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu sisi hapo bagamoyo alizaliwa kijana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni rais