Gody
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,246
- 411
Teja kaenda dukani.
1st day TEJA: naomba chakula cha mbwa
MUUZAJI: Una mbwa kweli? Sikupi mpaka umlete huyo mbwa
(2day) TEJA: "naomba chakula cha paka
" MUUZAJI:"mlete paka kwanza ndio nikupe
" (3day) TEJA: "naomba chakula cha kuku jamani
" MUUZAJI:"kuku mwenyewe yupo wapi? Sikupi mpaka nijionee" Baada ya wiki teja akarudi kwa duka na mfuko akampa muuzaji
MUUZAJI:"aisee hii ni ki2 gani? Mbona laini hivi halafu motomoto!!"
TEJA:"huo ni uharo... Haya naomba toilet paper!!!!!!! Teh teh
jioni njema!!
1st day TEJA: naomba chakula cha mbwa
MUUZAJI: Una mbwa kweli? Sikupi mpaka umlete huyo mbwa
(2day) TEJA: "naomba chakula cha paka
" MUUZAJI:"mlete paka kwanza ndio nikupe
" (3day) TEJA: "naomba chakula cha kuku jamani
" MUUZAJI:"kuku mwenyewe yupo wapi? Sikupi mpaka nijionee" Baada ya wiki teja akarudi kwa duka na mfuko akampa muuzaji
MUUZAJI:"aisee hii ni ki2 gani? Mbona laini hivi halafu motomoto!!"
TEJA:"huo ni uharo... Haya naomba toilet paper!!!!!!! Teh teh
jioni njema!!