Mwenzetu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2010
- 550
- 193
Tulianza kama utanituu,safari hii tuikuwa Kitandani!
Nikiimgeuzia huku yumo,nikibadili mchezo, yumo nikaona duh! imekula kwangu leo.
Nikampa viwili kwanza fasta fasta kisha nikamuuliza"una mavi"? akasema hana,
si nikaanza kulamba! ile nalamba tuu akatoa mavi!
eee bwana www! karata mchezo wa ajabu sana
Nikiimgeuzia huku yumo,nikibadili mchezo, yumo nikaona duh! imekula kwangu leo.
Nikampa viwili kwanza fasta fasta kisha nikamuuliza"una mavi"? akasema hana,
si nikaanza kulamba! ile nalamba tuu akatoa mavi!
eee bwana www! karata mchezo wa ajabu sana