Mdau
JF-Expert Member
- Mar 29, 2008
- 1,789
- 470
- Thread starter
- #21
Umetumia maneno mengi basi plain!
Kakobe anaongoza maelfu ya waumini,ambao ana uwezo mkubwa sana wa KU-CONTROL & MANIPULATE their mindsets
Can you actually prove kanisa lenye PhD holders, professors, professionals wa kila aina wamekuwa manipulated na kuwa-controlled na Kakobe!!
ndiyo sikutaka kubishana na wewe ila next time, peleleza kwanza, what we think and hear is sometime very far away from the truth.
Sisali kwa kakobe usifikir muumini wake, but i know him
naanza kupata mashaka na uelewa wako wa kawaida mkuu...DO YOU THINK THAT PhD holders, Professors,na Professionals wa kila aina hawawezi kuwa MANIPULATED??? Umewahi kusikia kitu kinaitwa SICK SOULS?? Kwa taarifa yako sasa,SICK SOULS ni ugonjwa unaompata mtu YEYOTE,hata awe na PhD mia mbili,uliza mkuu,si vibaya kuelimishwa,this is JF....