Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Kila ngoma ina mchezaji wake
Ila nawaambieni watanzania kwamba huko tuendako siko kwema kabisaaaa.
hii inaonesha kwamba siasa siyo safi kwani haiaminiki tena kama itaweza kuwakomboa watu kutoka katika ufukara wao hivyo watu wa dini wanataka kuingia na kujaribu. Tatizo hapa ni kwamba kila mmoja anajiona ana hekima mbele ya macho yake na hataki kusahihishwa......
Ukiwa fisadi wa matendo , kwa mfano wa CCM kutumia tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo kwa nguvu, Wazee na vinara wa CCM kupora ushindi na kufanya mikutano ndani ya makanisa kwa nguvu, polisi na usalama kutumika kudhulumu haki za watanzania na hasa wakati wa kura , wale wanaweza kupata neno waka ongoka na si kuokoka na kuacha ufisadi ule .Ila Kakombe ana ufisaidi wa matendo na Mawazo .Uko akilini kila mara hakika si rahisi kumuokoa hata kama ataombewa na wachungaji Dunia nzima . Nilijua haya yatamkuta maana waraka wa katoliki umetulia bwana .