Kakobe aongoza wimbo wa kumpongeza Rostam Aziz

Acha ushangingi wewe..... Msanii baba yako

Mchungaji punguza jazba! Jibu hoja acha matusi. Halafu futa jina ana sajili kwa jina jingine. Mods mnaona watu wanatumia majina ya watu na wanatoa matusi! Hivi kweli hamwoni? Baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaan
 
ndugu yangu mbona umekaa kishabiki zaidi? nani kakuambia umeme unaflow pale? kaulize mpaka leo umegoma. afu ujue umeme sio waya! kampeni na unabii ni vi2 viwili tofauti. alipiga kampen lakin kumbukumbu haisemi kuwa alitamka utabiri ka sheik yahaya! si mara moja watu walio pona wameweka vyeti hewani. sasa ww habari za mtaani usije kuhadithia hapa!

Thank you...I will remain in my mainstream church...for now...goodbye!!
 
ndugu yangu mbona umekaa kishabiki zaidi? nani kakuambia umeme unaflow pale? kaulize mpaka leo umegoma. afu ujue umeme sio waya! kampeni na unabii ni vi2 viwili tofauti. alipiga kampen lakin kumbukumbu haisemi kuwa alitamka utabiri ka sheik yahaya! si mara moja watu walio pona wameweka vyeti hewani. sasa ww habari za mtaani usije kuhadithia hapa!

sasa na wewe swala la kakobe kupiga kampeni unadhani ni sahihi kwa imani yake? nikusaidie tu, ni hivi kakobe alibatizwa na E.A.G na kwa imani ya uko hairuhusu kufanya alichokifanya na mzee mosses(askofu mkuu E.A.G) alimtaka atubu katika hilo na kakobe alienda katika moja ya mkutano mkuu wa E.A.G dodoma na alitubu.Kama kweli wewe ni mkristo bac umekalili vibaya kwani binafsi kama kweli kakobe kaimba bac hii ni fedheha mbele ya madhabahu ya BWANA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom