Kakobe amfananisha babu wa Loliondo na DECI

Twende pole pole mshiki, katika imani yako hiyo....kuna kitu chochote uliashaamini asilimia mia kua hii ni sababu ya Mungu baba alie hai? na kama ndio ni nini kilikufanya udhibitishe kua ama kweli huu ni muujiza kutoka kwa Mungu ninae muamini. Maana nielewavyo mimi Ku prove imani sijui kama inawezekana...!!

Ni kweli kuprove Imani ni ngumu sana!!!
Na ndio maana mi naona ngoja nibaki tu na Imani ya mti unaoponya, umegunduliwa na babu!!!
Kwamba ni Mungu amemfunilia, kwa sasa sitasema kitu chochote.
 
Askofu Kakobe ameifananisha tiba ya Loliondo kwa babu na iliyokuwa taasisi feki ya DECI huku akidai imesababisha watu kuacha tiba za kuaminika za hospitali na kukimbila huko.

Maswali yangu ni haya:
1. Si kweli kwamba hata yeye aliwaombea watu waliokata tamaa na tiba za hospitali au amekuwa akijitangaza kuwa na uwezo wa kuombea na kutibu magonjwa sugu ?

2. Amefanya uchunguzi ili kujiridhisha kwamba huo ni utapeli?

3. Swali la mwisho ni kwamba: inawezekana ana wasiwasi wa idadi ya waumini wake kupungua wakikimbilia Loliondo kutesti zali? maana hapa kuna conflict of interest.

SOURCE: Power Breakfast Kuperuzi na kudadis

Naombeni mawazo yen Great Thinkers
Nawashukuru kwa utulivu wenu>

Tofauti ni kwamba muumini wa kakobe akitoa sadaka kubwa harudishiwi chenji wakati Babu ameweka kiwango kidogo sana sh 500 ambayo kila mtanzania anamudu
 
Kakobe pamoja na baadhi ya watumishi wengine wa makanisa yanayojiita ya kiroho wamepata taharuki na hofu kubwa hasa ikizingatiwa kuwa wao wakati wote hawaamini kuwa mchungaji kutoka KKKT au Katoliki anaweza kutumiwa na Mungu, wao wakati wote wanadhani kuwa ndiyo wenye madhehebu sahihi na kuwa wao ndiyo pekee wanaweza kutumiwa na Mungu si vinginevyo, wanajua wazi kuwa kwakuwa mavuno yao mengi ya waumini wanayapata kupitia washirika wa KKKT, Katoliki pamoja na madhehebu mengine hivyo kama wataunga mkono kuwa Mungu amejidhihirisha kupitia mchungaji wa KKKT ni dhahiri kuwa watakosa waumini na huduma zao kuangamia, maana nijuavyo mimi wengi wanokimbilia kwenye makanisa yanayohubiri miujiza ni wale wenye matatizo yaliyoshindikana na kikubwa kinachowapeleka huko sio kumtafuta Mungu ila kutafuta miujiza na uponyaji wa kimwili sasa ikitokea kuwa kunamtu anayaweza kuwaponya hawataona sababu ya kuendelea kupeperusha vitambaa na makoti yenye upako.
 
Kakobe pamoja na baadhi ya watumishi wengine wa makanisa yanayojiita ya kiroho wamepata taharuki na hofu kubwa hasa ikizingatiwa kuwa wao wakati wote hawaamini kuwa mchungaji kutoka KKKT au Katoliki anaweza kutumiwa na Mungu, wao wakati wote wanadhani kuwa ndiyo wenye madhehebu sahihi na kuwa wao ndiyo pekee wanaweza kutumiwa na Mungu si vinginevyo, wanajua wazi kuwa kwakuwa mavuno yao mengi ya waumini wanayapata kupitia washirika wa KKKT, Katoliki pamoja na madhehebu mengine hivyo kama wataunga mkono kuwa Mungu amejidhihirisha kupitia mchungaji wa KKKT ni dhahiri kuwa watakosa waumini na huduma zao zitangamia, maana nijuavyo mimi wengi wanokimbilia kwenye makanisa yanayohubiri miujiza ni wale wenye matatizo yaliyoshindikana na kikubwa kinachowapeleka huko sio kumtafuta Mungu ila kutafuta miujiza na uponyaji wa kimwili sasa ikitokea kuwa kunamtu anayaweza kuwaponya hawataona sababu ya kuendelea kupeperusha vitambaa na makoti yenye upako
 
askofu kakobe ameifananisha tiba ya loliondo kwa babu na iliyokuwa taasisi feki ya deci huku akidai imesababisha watu kuacha tiba za kuaminika za hospitali na kukimbila huko.

Maswali yangu ni haya:
1. Si kweli kwamba hata yeye aliwaombea watu waliokata tamaa na tiba za hospitali au amekuwa akijitangaza kuwa na uwezo wa kuombea na kutibu magonjwa sugu ?

2. Amefanya uchunguzi ili kujiridhisha kwamba huo ni utapeli?

3. Swali la mwisho ni kwamba: Inawezekana ana wasiwasi wa idadi ya waumini wake kupungua wakikimbilia loliondo kutesti zali? Maana hapa kuna conflict of interest.

Source: Power breakfast kuperuzi na kudadis

naombeni mawazo yen great thinkers
nawashukuru kwa utulivu wenu>

kakobe alisema umeme uliopita kwake hautawaka, sasa unawaka. Kakobe kakobe, kakobe mbona uawakandia wenzako, ulaaniwe,
 
Jamani ee, tusimlaumu Kakobe bure!! Kwani hata wewe unayemlaumu, umehakikisha kwamba huyu babu alifunuliwa na Mungu yupi?

Mi nafikiri tusubiri tuone mambo yatakavyokwenda hivi karibuni, pumba na mpunga vitajulikana wazi wazi.
 
Huyo ndio Askofu Zachary Kakobe aliyeoteshwa na Mungu kuwa Lyatonga Mrema angeshinda urais na akaamua kutoka kanisani kumpigia kampeni lakini hakushinda.
 
All in all mpaka sasa waliokunywa dawa wengi wao wana nafuu au kupona kabisa!kakobe atuambie hao vilema vipofu aliowaombea wako wapi watupe ushuhuda?
 
Nilidhani kakobe angemuunga mkono babu kwa sababu wote wanafanya kazi ile ile moja ya bwana
 
kwanza ulivyo tu sura yako ni ya kikatili , unatisha!kama mchawi vile...lione kwanza..
 
Wote wawili ni mataperi sasa mmoja labla kamzidi mwenzie kete na hivyo kuzoa wateja wengi!
 
Kakobe pamoja na baadhi ya watumishi wengine wa makanisa yanayojiita ya kiroho wamepata taharuki na hofu kubwa hasa ikizingatiwa kuwa wao wakati wote hawaamini kuwa mchungaji kutoka KKKT au Katoliki anaweza kutumiwa na Mungu, wao wakati wote wanadhani kuwa ndiyo wenye madhehebu sahihi na kuwa wao ndiyo pekee wanaweza kutumiwa na Mungu si vinginevyo, wanajua wazi kuwa kwakuwa mavuno yao mengi ya waumini wanayapata kupitia washirika wa KKKT, Katoliki pamoja na madhehebu mengine hivyo kama wataunga mkono kuwa Mungu amejidhihirisha kupitia mchungaji wa KKKT ni dhahiri kuwa watakosa waumini na huduma zao zitangamia, maana nijuavyo mimi wengi wanokimbilia kwenye makanisa yanayohubiri miujiza ni wale wenye matatizo yaliyoshindikana na kikubwa kinachowapeleka huko sio kumtafuta Mungu ila kutafuta miujiza na uponyaji wa kimwili sasa ikitokea kuwa kunamtu anayaweza kuwaponya hawataona sababu ya kuendelea kupeperusha vitambaa na makoti yenye upako

............. wala hawana yakini na lililotokea bali ni watu wanafuata dhana tu! (Quran), .......... wapo wanaoamini YESU alikufa msalabani, utawaeleza nini kuhusu babu ! alakadabra tu :juggle:
 
Binafsi nilikuwa namuamini sana kakobe, kaniangusha mno!
Nadhani akifikiri yale mapokezi makubwa aliyowahi kuyapata Kongo, Burundi, Zambia n.k..... sasa watu wa kule wanakuja TZ kufuata nabii mwingine aje awatibu anaona wivu mno!! Kajiabisha sana.....
 
Uzuri wetu watanzania ndio huo! Wepesi kusahau... likitendwa na tunaemkubali zuri likitendwa na asiyetakiwa nasi basi la ovyo!

Alichosahau Askofu Kakobe ni kuwa KUTESA KWA ZAMU!! amuache babu wa watu nae apete kivyake... ni MSIMU tu....
 
Binafsi nilikuwa namuamini sana kakobe, kaniangusha mno!
Nadhani akifikiri yale mapokezi makubwa aliyowahi kuyapata Kongo, Burundi, Zambia n.k..... sasa watu wa kule wanakuja TZ kufuata nabii mwingine aje awatibu anaona wivu mno!! Kajiabisha sana.....
mkuu... babu amefunika bovu! kile kijiji kimezidi baadhi ya makao makuu ya baadhi ya wilaya... usishangae kile kijiji kinapasishwa kuwa manispaa ghafla.. maana nyomi si la mchezo. kisa babu!! Ni wengi watampinga babu, ni mgongano wa kimaslahi na kutishia nyadhifa za watu! babu amewini imani za watu kama walivyokuwa hao kina AZK na wengineo. Hivyo basi wawache kujiona kwamba babu anakosea... ni suala la muda tu!
 
All this time , he has been shinning thru people problem mainly health problems, he is fearing to loose them
 
Tapeli mnoooo huyu Kakobe anaona umaarufu wake unaporomoka sa ana tapatapa sasa. kwa babu ni kikombe cha uzima, kwa wale wakatoliki huwa tunaimba wimbo flani hivi unaanza TUKALE MKATE WA UZIMA NA DAMU YA UZIMAAAAA!!!! SO KWA BABU KULE KUNA KIKOMBE CHA UZIMA ILE NI DAMU YA YESU ALIYE HAI

Mmm! hapa naona kuna bifu la kiaina kati ya Kakobe na Wakatoliki
 
sio wote waliitalo jina la bwa watauona ufalme wa mungu.
YESU atawakana na kuwaambia mimi SIWAJUI, ehhe nendeni zetu huko motoni
 
Back
Top Bottom