Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Mungu wa Kakobe siyo wako wewe wa mizimu,bali ni yule aliye hai ambaye Yesu kristo nio mwana wake wa pekee.Kwa maneno yako ni wazi huja okoka na kwahiyo mungu wako ni mizimu.Na umeme nakuhakikishia haupiti.Hata kichaa mmoja alipanda penye nguzo hiyo na kuichezea atakavyo wakati upande wa pili upo na picha za magazeti za kichaa huyo zipo.Acha uongo wewe, umeme unapita kama kawa na hakuna tatizo, halafu unasema kakobe ni mtumishi wa mungu! Mungu yupi?