Pamoja na kutojua sheria, waumini kwanini wanakesha wakilinda pale? Inamaana kuna siku kitu kikitokea ambacho mchungaji hakimpendezi, basi anaweza kuwaamuru kufanya lolote lile na likafanyika. Siamini dawa ya tatizo ni kulinda eneo lile.Hivi huku kuonyeshana ubabe kati ya TANESCO na Mchungaji Kakobe na waumini wa kanisa lake sijui nani mwenye haki na nisingependa kutaka ku argue ili hali sina facts zote
Je sheria inasemaje?
Na kama TANESCO wana makosa kwa nini wanawasumbua hawa waumini? Kama ni kweli kwa nini wanatumia tactics za kibabe kufanya kazi yao nje ya sheria kama wanavyotuhumiwa?
Na kama KAKOBE na kanisa lake wana makosa kwenye hili kwa nini wasi kae pembeni na kuacha TANESCO wafuate sheria ili watu na zahanati zipate umeme ambao utaokoa maisha ya wengi na kuleta unafuu wa hali zao?
Jamani nimeuliza Sheria inasemaje na kama hakuna mwenye kujua basi tuache speculations na si vibaya kama Badra akafikishiwa ujumbe kuwa this doesnt look good on TANESCO na aje aweke wazi msimamo wao kwa public
Tafadhari sana usije ukalinganisha na yale yaliyotokea kule Uganda kwa Kibwetere ambapo alikuwa akiwaamuru wafuasi wake wafanye kile anachotaka yeye na matokeo yake wengi tumeyasikia,lakini hapa Bongo watu wana akili bwana!Pamoja na kutojua sheria, waumini kwanini wanakesha wakilinda pale? Inamaana kuna siku kitu kikitokea ambacho mchungaji hakimpendezi, basi anaweza kuwaamuru kufanya lolote lile na likafanyika. Siamini dawa ya tatizo ni kulinda eneo lile.
Brainwashing ya Kakobe, Mwingira, Mzee wa Upako hasa kwa akina mama na dada zetu inaelekea kubaya na serikali yetu inatazama tu. Rais wetu aifute hati ilipojengwa kanisa lile la Kakobe ili shughuli za TANESCO ziendelee.
Ndege,Mkuu huo utakuwa ni Udictator, Sheria Ifuate Mkondo wake itazamwe haki kama Kakobe ana haki basi na iwe hivyo kama Tanesco wana haki basi na iwe hivyo.
Ndege,
Nasema hivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Sio kanisa la Kakobe tu lililoko upande huo zinakotakiwa kupita hizo nyaya.
2.Bila shaka TANESCO na Wizara wamefanya upembuzi yakinifu wakishirikiana na Taasisi nyingine kama NEMC na wakaridhika kwamba hakuna madhara yoyote yatakayotokana na nyaya hizi kupita pale. Hazianzii wala kuishia pale.
Mkuu huo utakuwa ni Udictator, Sheria Ifuate Mkondo wake itazamwe haki kama Kakobe ana haki basi na iwe hivyo kama Tanesco wana haki basi na iwe hivyo.
Ndio maana nimeanza na maneno "Bila shaka". Project ya billions kama hii haiwezi kupita bila masharti na vigezo vyake kuzingatiwa labda kwa Tanzania tu!Unao ushahidi usio shaka ya kuwa competent bodies zilipitisha hii project ya TANESCO??
Ndio maana nimeanza na maneno "Bila shaka". Project ya billions kama hii haiwezi kupita bila masharti na vigezo vyake kuzingatiwa labda kwa Tanzania tu!
Hatuwezi kufanana woote humu ndani kwa fikra. Maana na uwepo wa forum hii utaathirika sana!Unajua humu ndani kuna watu wana fikra za ajabu sana. Halafu ndio tunajiita Great Thinkers ??
Isome sentensi yote vizuri.Kwa hiyo 'bila shaka' ndio jibu lako?? Great Thinker?
Hatuwezi kufanana woote humu ndani kwa fikra. Maana na uwepo wa forum hii utaathirika sana!
Isome sentensi yote vizuri.