TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
mKUU KWA HILI NAOMBA NIKUPINGE... VITU KAMA CAMERA NI VYA WOTE... HEBU IMAGINE KAMA WATOTO NDIO WANGEKUA WA KWANZA KUONA HIZO PICHA ZA UTUPU, SI ANGEADHIRIKA ZAIDI?Mambo mengine ni kujitakia. Privacy is privacy!! Huyo mwanamke achague kuacha picha zikae ndani ya kamera au afanye uamuzi mwingineo atakaoupenda
huyo jamaa ashuke chini, akane matendo na awe mpole tu, ila tatizo sasa ni aina ya mwanamke, wengine ukikosea basi ni mwaka mzima kelele