Kaka zangu jitahidini kuulinda uanaume wenu

Hiyo haina shida nyamayao na ndio maana nimesema usubiri akupe ofa sio unalazimisha. Na bora wewe ni mumeo sasa hy ni boyfriend ana mizinga balaa akikuoa si ndio kila kitu utagharamia wewe

Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!
 
Naona umeandika out of emotion inawezekana ulikutana na mario huko akawa ana do the nidful kwako. Swali kwako unapoitwa kupewa ofa kwanini uende mikono mitupu bila kutembea na hela mtu anapokuita kukupa ofa unajua ana kaisi gani mfukoni? Je ukiitwa ukaishia kupewa ofa ya soda? Jinsi nyie wanawake mnavyotuomba vocha basi mkae mkijua kuwa na sisi hiyo tabia yenu inatukera kama inavyokukera wewe kuombwa vocha na mwanaume ila i guess tabia hii ya kuomba vocha wanawake ndio mmekubuhu.

Nilifikiri niko peke yangu. Wanawake hawanunui vocha kazi kuombomba tu hata kwa long time one night stance.
 
Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!
hahahahaha!
angekuja na propozo ya kufanya ''matusi'' kwenye mapagale ili KUSEVU KOST:becky::becky::becky:
 
Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!

hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.
 
Kama kwenye first date uliwajibika itakiwavyo, then second date hutalazimika kuchangia gharama. Ila kama hukuwajibika, second date hutachangia pia kwakuwa wala haitakuwepo...You see? Fair enough! Huna gharama itakayokuhusu kwa namna yoyote ile....Juhudi zako tu...Sasa twende PM!

PM.....mmh!
King of Infidelity.....
hahahaha.....:becky::becky::becky:
 
Kama kwenye first date uliwajibika itakiwavyo, then second date hutalazimika kuchangia gharama. Ila kama hukuwajibika, second date hutachangia pia kwakuwa wala haitakuwepo...You see? Fair enough! Huna gharama itakayokuhusu kwa namna yoyote ile....Juhudi zako tu...Sasa twende PM!

Umeshapona kiuno lakini? au unanitafutia kesi tu hapo
 
hahahahaha!
angekuja na propozo ya kufanya ''matusi'' kwenye mapagale ili KUSEVU KOST:becky::becky::becky:

hivi kwani mwanaume wa hivi hana kwake ama inakuwaje jamani, mmekutana tu rodini mkabebana au bado anakaa kwao, czungumzii kwa waliooa.
 
hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.

We si hujui nini maana ya kupenda nina wadada wa 3 gharama za guest huwa juu yao mm huwa sisumbuki hata kidogo.
Mi mkazo unakuwa kwenye tumbo na kilaji...tu
 
hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.
Kumbe huwa mnalalwa....??
 
hivi kuna wadada wanayafanya hayo?...ni wazimu ama, yaani unatoa hela mwanaume akakulale?....yaani hata yeye hela ya kulipia tena ni shughuli, hapana huo ni msalaba tosha.

:becky::becky::becky::becky:eek:kay tuendelee.....
A%20S%208.gif
 
We si hujui nini maana ya kupenda nina wadada wa 3 gharama za guest huwa juu yao mm huwa sisumbuki hata kidogo.
Mi mkazo unakuwa kwenye tumbo na kilaji...tu

kama kupenda ni huko bac nashukuru kweli cjui kupenda....pweeeeh, nitoe pesa yangu haswaa kwa ajili ya ma2c, nitakuwa nina wazimu, pesa ya kinywaji/kula naweza kutoa tena mara moja moja icwe mazoea, nitoe pesa kwenda kuchosha mwili wangu 4 nothing, otee kabisa.
 
:becky::becky::becky::becky:eek:kay tuendelee.....
A%20S%208.gif

sasa mdada upelekwe guest na pesa unatoa yeye, unaenda kufanyaje kama sio kulalwa?...hivi na mwanaume kabisa anacmamisha? khaaa kuna mapenzi ya ajabu kweli.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom