Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,444
Hiyo haina shida nyamayao na ndio maana nimesema usubiri akupe ofa sio unalazimisha. Na bora wewe ni mumeo sasa hy ni boyfriend ana mizinga balaa akikuoa si ndio kila kitu utagharamia wewe
Umeombwa uchangie bili tu Maty je angesema ulipie na hela ya Guest si ingekuwa kilio mweh!!!!