kesi Hipo,
kwa sababu huyo Kakake sasa atakuwa ni Babamkwe wake, na Watoto wa Kakake sasa watakuwa mashemeji zake, Na Mkewe anamwita huyo kaka ya Mmewe kuwa ni Babayake na watoto wa wa huyo shemeji yake watakuwa wadogo zake
Kaaaaaazi kwelikweli
Uliwakuta seblen auNaishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake. Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu. Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
MrejeshoNaishi dar, brother wangu mkubwa ambaye ni mstaafu kaja kufuatilia madai yake. Nyumbani kwangu anaishi pia mama wa mke wangu.
Juzi nlipotoka kwenye mizunguko na kurudi nyumbani mida ya saa tano asubuhi niliwakuta live wakilimega tunda.
Kwa kweli kaka yangu ni mtu mzima ambaye kwa umri kamzidi hata mkwe wangu. Lakini hii siielewi, matokeo yake nimejikuta mi ndo naona aibu hata kuwaangalia.
Upo mkuu?Dear - Hii comment yako inawezekana kuwa "post of the year"!
Case closed!!!!
Noma Sana we jamaa ,ulikoolea umebakiza baba mkwewako tuKudadadadadadadaddaddadadadadadadadadadaadeki...
Huyo braza wako na bujibuji hawana tofauti
Huoni RIP hiyo, 13 yrs afterWhy darling???
Naye akilewa akadondoka analamba cha mafuta fastaNoma Sana we jamaa ,ulikoolea umebakiza baba mkwewako tu
Case closed. RIP Boma LiwanzaAlifariki siku nyingi nyuma
Boma YeeCase closed. RIP Boma Liwanza
Tafuta hela kijana, hayo ma dislike unayoyamwaga hapa jukwaani, kuna siku utakuja kupata akili timamu, yaani akili safi, ukikumbuka upumbavu unaoufanya, utajiona wewe ni bonge la bwegeMrejesho