Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,970
Hebu nitake radhi.Mimi ni dada yako toka lini? Au ndo talaka zinavyoanzaga hivi?
mama mbona hujawahi kunitambulisha kwa mkwe wangu!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nitake radhi.Mimi ni dada yako toka lini? Au ndo talaka zinavyoanzaga hivi?
Wewe unaongea kiswahili au...!?Mbona hapa hawajakataza dada na kaka kuoana.........?
Nisamehe Dady.Chrispin ndio mchumba wangu na tulikuwa tunajiandaa ili nije nimtambulishe kwako.ni vile umeniwahi tu.Ila Nitamleta rasmi umtambue.mama mbona hujawahi kunitambulisha kwa mkwe wangu!!??
abomination!!!!!!!!!!!!!!!!
Katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzani ya mwaka 1971 inaeleza kuwa ndugu wa kioana adhabu yao ni miaka 2 jela, bora waendelee kumegana kwa siri, mmoja akipata mwenza kumegana kukome, wasiende kuwaeleza wazazi wanaweza kupata laana.
Samahani mpenzi, ulimi uliteleza!Hebu nitake radhi.Mimi ni dada yako toka lini? Au ndo talaka zinavyoanzaga hivi?
mama mbona hujawahi kunitambulisha kwa mkwe wangu!!??
Umwambie kabisa nikija nachotaka nijue mahari ni kiasi gani! Siyo kutambulishana tena!Nisamehe Dady.Chrispin ndio mchumba wangu na tulikuwa tunajiandaa ili nije nimtambulishe kwako.ni vile umeniwahi tu.Ila Nitamleta rasmi umtambue.
Mbombo ngafu
Kweli life F.U.*.KS every body,but she is totaly F.U.*.K.D by his blood brother!!Tumsaidieni huyu dada jamani....
Nisamehe lovie si kwamba nimeanza siasa kali hapana laaziz
Nimesema kwa kuwa nimewaona wengi wanafanya ya hivyo nikadhani inaruhusiwa kumbe wafanyao ni mahulka yao tu!!
Mie wangu alitoka na mtoto wa mjomba wake kabisa!! au ndo mambo ya Binamu nyama ya hamu?
Nisamehe Dady.Chrispin ndio mchumba wangu na tulikuwa tunajiandaa ili nije nimtambulishe kwako.ni vile umeniwahi tu.Ila Nitamleta rasmi umtambue.
Samahani mpenzi, ulimi uliteleza!
Umwambie kabisa nikija nachotaka nijue mahari ni kiasi gani! Siyo kutambulishana tena!
Kariri neno hili la hekima: "ukishavunja mwiko, mengine yote yanakuwa halali"![/QUOTE]
MMKJJ,
Umemaliza kila kitu.Hawa watu wawili inaelekea walikataa kitu kinachoitwa "maadili" tangia mwanzo.Haiingii akilini ni vipi walianza hadi kuvuliana nguo mtu na kaka hata kama siyo mama mmoja! Inashangaza ni vipi waliamua kukaziana macho wao wawili wasiweze kutizama nje ya familia.
Inaelekea labda hata kitu kinachoitwa dini kwao hakipo kabisa maana kwa kumuogopa Mungu ingetosha kuwafanya wakae mbali na matamanio yao . Ninatamani kujua umri wao maana kama wangekuwa watoto labda wangekemewa na kuambiwa acha! haifai! Lakini kama wanawaza kuhalalisha kwa kuoana basi huenda wanao umri wa kutosha.
Wewe ndugu unayewaombea ushauri hapa, nenda kawaambie wasithubutu... waache kabisa - ni chukizo kwa Mungu na Kaisari ( Serikali) - sheria ya incest itawapeleka lupango wasipoangalia!