Edwin Chapa
Member
- Jun 3, 2011
- 54
- 12
Katika hali isiyo ya kawaida,kaka na dada ambao mama zao ni mkubwa na mdogo wamepeana mimba,stori yenyewe ilikuwa hivi,huyu msichana aliyepewa mimba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake yaani mtoto wa mama yake mkubwa ambaye ni tumbo moja na mama yake mzazi, kipindi wapo katika mahusiano ndugu walikaa kikao cha kuwakanya na cha ajabu mama mzazi wa msichana mwenye mimba amekataa kabisa ya kuwa mwanaye hawezi kutembea na kaka yake kwani bado mdogo na tena ni mwanafunzi wa kidato cha kwanza.
Ndugu wakahairisha kikao bila maamuzi, ikapita kama muda hv ndugu wakaona mabadiliko ya yule msichana ndipo jana wakenda kumpima na kukutwa ya kuwa ana mimba ya miezi saba na akamtaja ya kuwa mwenye mimba ni kaka yake ambaye ni mtoto wa mama yake mkubwa.
Naombeni ushauri wa kumpatia huyu dada kwani hajawahi kwenda kliniki hata siku moja na pia mwaka huu ndo anaingia kidato cha pili...Hii ni kweli kwani mimi ni mmoja wapo wa ndugu
Ndugu wakahairisha kikao bila maamuzi, ikapita kama muda hv ndugu wakaona mabadiliko ya yule msichana ndipo jana wakenda kumpima na kukutwa ya kuwa ana mimba ya miezi saba na akamtaja ya kuwa mwenye mimba ni kaka yake ambaye ni mtoto wa mama yake mkubwa.
Naombeni ushauri wa kumpatia huyu dada kwani hajawahi kwenda kliniki hata siku moja na pia mwaka huu ndo anaingia kidato cha pili...Hii ni kweli kwani mimi ni mmoja wapo wa ndugu