Kaka, Messi na Ronaldo nani zaidi Timu ya Taifa?

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,605
1,704
http://images.google.com/imgres?img...hl=en&sa=N&start=18&ei=OpWjSuOpGc7AsAa1zZnSBA
Wote wamewahi kuongoza timu kutwaa kombe la mabingwa wa vilabu Ulaya (UCL). Kwenye ngazi hiyo wote wamewahi kuwa wachezaji bora sana kwa miaka tofauti. Hivyo hapo tunaweza kusema wote wako sawa.

Ila tunapokuja kwenye ngazi ya timu ya taifa hali inakuwa tofauti. Kaka ameiongoza Brazil kufuzu kucheza kombe la dunia leo/jana. Messi kajitahidi ila Argentina iko hoi katika michuano hiyo. Ronaldo timu yake iko mahututi!

Sasa swali la kujiuliza ni kuwa nani ni mkali katika nyanja/ngazi hiyo ya kucheza mpira katika timu ya taifa? Je ni Kaka ambaye tayari ana vikombe kadhaa na timu ya taifa?Au Messi machenga? Pengine ni Ronaldo mabio?
 
Last edited:
kaka zaidi alafu ronaldo ,messi zero tu timu ya taifa na wakifanya mchezo hawaendi south africa mwakani.
 
Footballers kwa kawaida wanafikia peak performance wakiwa na umri wa miaka 25. Tusibiri tuone Messi (22) na Ronaldo (24) watafanya nini baada ya kufikia/vuka umri huo. Si sawa kuwalinganisha na Kaka (27)
 
kaka zaidi alafu ronaldo ,messi zero tu timu ya taifa na wakifanya mchezo hawaendi south africa mwakanI

The professor! Ronaldo amefanya non-zero gani timu ya Taifa? Cheki:

Portugal's World Cup hopes hang by a thread
By THE ASSOCIATED PRESS

COPENHAGEN -- Portugal, put itself in a difficult position to reach next year's World Cup after a disappointing draw against Denmark in European qualifying...

071511bc-f292-4764-9b4f-578b153f867b.jpg


Portugal's Christiano Ronaldo reacts after the drawn World Cup group 1 qualifying soccer match against Denmark at Parken in...

88a32490-1a07-47c7-aa0e-ea3ff192e7eb.jpg
 
sasa unauliza swali huku una majibu tayari?...hahahahaha
kwangu mimi binafsi, Messi ndo mchezaji mzuri. Ningemchagua yeye katika timu yangu. Wa pili Kaka na mwisho Ronaldo. Kaka kazungukwa na timu nzuri sana, ndo maana mpira wake unang'aa. Messi kwenye timu ya taifa hajaweka imprint yake. Ronaldo na yeye bado. Hajafikia kina Figo katika timu ya taifa.
 
Walinganishe kwenye ligi tuu na sasa wote wanacheza ligi moja, kwenye timu zao za taifa hawajafanya maajabu sana.
 
KAKA ndio the best kwani amebeba World Cup,Confederation Cup
 
Kwa kigezo cha michezo waliochezea timu zao za taifa mwishoni mwa wiki iliyopita KAKA ni juu juu juu zaidi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom