Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
atajiju.......
pimbi tu huyu badala aseme amefukuzwa kwenye nyuma kakosa pango la kulipia..yeye analeta porojo za wauza sura ...atakuwa mwenda kwenye taarabu huyu .....mwanaume anatafuta chapaa,fuba,mshiko wanawake ni matokeo tu......
Auze tshirt atapata hela.
akianza na hilo la pili anaweza akasaidika
acha ukatili huo sasa kwa jibu hili akiliona kama ni mhehe si atajiua.atajiju.......
Akauze tigoooo
mwambie ajiunge na free masoo
aende kijijini akalime,swagga za town zimempita kushotodu! Sasa mkuu sinasikia wanatoa sadaka uoni itakuwa sooo