Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Kuna basi lilitekwa na majambazi, wakalipeleka porini, wakawasachi abiria ambao walikuwa ni wanawake na wanaume, lakini hawakupata pesa za kuwaridhisha. Kwa hasira zao, majambazi wakawaamuru kila abiria mwanamme ammege mwanamke aliyekuwemo humo. Kila mtu alipata wake. Wakabaki wanaume wawili,kati ya hao mmoja alikuwa Shehe na mwengine ni shoga! Jambazi akaamuru yule Shehe ammege shoga,yule Shehe kwa kuogopa bunduki, akapandisha kanzu yake, akamfunika shoga, akawa anazuga kama anammega. Shoga akawa anasubiri chuma kizame ndani, akagundua kuwa yule Shehe kumbe anazuga.Shoga akakasirika, akamfata jambazi huku akimwambia:"Kaka Jambazi! Kaka Jambazi! Huyu mbona hanifanyi?? anafanya uwongo uwongo....!!"