usiniambie umeshapigwa mzinga.......Hivi kwanini wanawake mnatuita bahiri??wakati wewe unafanya kazi!nazaidi unaweza ukawa unanizidi kipato!na mbaya zaidi unasema unanipenda sasa mapenzi gani haya ya kuviziana??nawaombeni mnijulishe tatizo linatokea wapi??
Hahahahaaa tena mzinga atakuwa kapigwa na mdada mwenye mshahara mkubwa kumzidi yeye ndo maana imemuma.....mwambie mwanaume atakula kwa jasho km hataki wenzake watampatia dada atakacho na yeye atakuja hapa kuleta malalamiko kuwa katoswa....teh*usiniambie umeshapigwa mzinga.......
yaani ugonge mzigo afu utoke hivo hivyo?
Una hatari
ukila lazima uliwe?
Get that!
Hata kama mshahara mabilioni lazima utoe hata ya pipi toffee
Tena utakuta anayefanywa ndo anapata raha zaidi kuliko anayetokwa mijasho...uuhhhKwani wakati wa mechi yeye ndo anakula peke yake au wanakulana?
Kwani wakati wa mechi yeye ndo anakula peke yake au wanakulana?
Hivi ni bahiri au bahili?
Naomba mwongozo plz!
Hivi ni bahiri au bahili?
Naomba mwongozo plz!
​Wameathiriwa na 'mfumo dume', wanahitaji kujikomboa.
yaani ugonge mzigo afu utoke hivo hivyo?
Una hatari
ukila lazima uliwe?
Get that!
Hata kama mshahara mabilioni lazima utoe hata ya pipi toffee