Kajamaa kanakowadindia Polisi, , ,

KakaJambazi

JF-Expert Member
Jun 5, 2009
18,713
12,063
Kwenye taarifa ya habari ITV, Huwa wanaonyesha clip ambapo kajamaa kanaenda mbele ya FFU ambao wao full armed, na kuwaonyeshea middle finger, huku FFU wakikatizama tu. Kale kabaunsa ni ka-polisi, na kanatumika kama chambo tu, kuweni makini makamanda iyo nayo ni mbinu ya kiintelijensia ya kuonyesha CDM inadharau amri ya so called"halali" ya polise hivyo kuhalalisha kipondo.
 
Du hii km nimeiona au nakosea? ni katika yale Maandamano ya pale iringa mjini mbele ya Mh Chiku Abwao na Kamanda wa FFU au tangazo gani maana kweli pale kuna jamaa anabishana bila woga hebu dadavua tukae kitahadhari
 
Du hii km nimeiona au nakosea? ni katika yale Maandamano ya pale iringa mjini mbele ya Mh Chiku Abwao na Kamanda wa FFU au tangazo gani maana kweli pale kuna jamaa anabishana bila woga hebu dadavua tukae kitahadhari
Kwani ulitegemea kila mtu akiwa mbele ya polisi lazima awe mwoga? Hiyo ndiyo inawapa polisi ujasiri au usugu wa kuonea wananchi ikiwa ni pamoja na kuua hovyo. Polisi wanapaswa kuwa walinzi wa raia na si wanyanyasaji wa raia. Hata magerezani kuna miongozo ya kuwaadhibu wafungwa. Raia asiye muhalifu na anayetetea haki zake ana kila sababu na haki ya kubishana na polisi.
 
Kwenye taarifa ya habari ITV, Huwa wanaonyesha clip ambapo kajamaa kanaenda mbele ya FFU ambao wao full armed, na kuwaonyeshea middle finger, huku FFU wakikatizama tu. Kale kabaunsa ni ka-polisi, na kanatumika kama chambo tu, kuweni makini makamanda iyo nayo ni mbinu ya kiintelijensia ya kuonyesha CDM inadharau amri ya so called"halali" ya polise hivyo kuhalalisha kipondo.

kwan mnaogopa polisi
 
Kwani ulitegemea kila mtu akiwa mbele ya polisi lazima awe mwoga? Hiyo ndiyo inawapa polisi ujasiri au usugu wa kuonea wananchi ikiwa ni pamoja na kuua hovyo. Polisi wanapaswa kuwa walinzi wa raia na si wanyanyasaji wa raia. Hata magerezani kuna miongozo ya kuwaadhibu wafungwa. Raia asiye muhalifu na anayetetea haki zake ana kila sababu na haki ya kubishana na polisi.
Jamaa yangu kwa nini usiisome uzi wa kwanza? mm hapo nimeficha (mtu akikuonyesha kidole cha kati maana yake anakuingizia wapi? HILO KAKUTUKANA) kwa nini asikulipue fuatilia picha hiyo huyo jamaa anaonekana hata leo mbele ya Chiku Abwao ndio maana namuuliza mtoa uzi ni hiyo Clip? ww unadakia POLISI ni walinzi wa Raia kwa hilo la tusi NO BIG NO unastahili kichapo mfuatilie huyo jamaa tumetahadharishwa na wakazi wa irnga kuwa ni askari mwenzao yuko kwa ajili ya kuchafua hali ya hewa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom