Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hata sisi tumrgundua wewe ni hatari
Tumesimamisha ukaguzi kwako hadi further notice
Hata sisi tumrgundua wewe ni hatari
Hata sisi tumrgundua wewe ni hatari
Tumesimamisha ukaguzi kwako hadi further notice
Hahahahaaaaa hapa wote ni wajukuu tumi sio hatari ila nyie mnatisha. Nawaachia wajukuu wengine mkague. Kwanza mi ni lijibibi la miaka 90. Mabibi nao twakaguliwa?
Mh hii ni noma aisee
Goodmorning Catherine..... Samahani natoka kidogo na cacico, nikirudi tutaendelea na mazungumzo kama ataniruhusu.
Yeah niko poa kabisa pole kwa maisha...!mie mzima my dear, mihangaiko tu ya hapa na pale ndo imenibana, natumaini upo powa....
Hivi we BADILI TABIA utamalizana lini na cacico ugomvi wenu? Nshawaambieni nyie ni wake zangu na nawapendeni....chondechonde...mie mzima my dear, mihangaiko tu ya hapa na pale ndo imenibana, natumaini upo powa....
umeona eeehhh? ndivyo tunavyotakiwa kuwa hivyo, ila huwa tunajikatia mapema tamaa!Tena courage ya hatari lol
mna vituko, mwe!
Madame B you are conspicuously philosophical today....my observation lol
Kaizer,
am hr to all fnz,
wanao-dspnt'tz othr...!!!
Mst 2 cncrtly's all.
Ila Vocbly 2dfclt 2thnk.
I thnk iko Scntfc and obsrv more.
Thank 2'c that.::-(
LOOOOOOOL...EST!!!