wana jf ningependa kujua kwa yeyote anaejuwa nini kinaendelea ktk mashauri yahusuyo isue ya kaine na mafsd kwani mala ya mwisho niliwasliana kainelugaba akasema wadai wake hawaendi court sasa mpaka sasa kesi ipo au iliisha? nimeshndwa ku comincate na mhusika kwani namba nilishapoteza kama kaine mwenyewe atanisoma bac ahusike pia