Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Asubuhi nilisikiliza sehemu ya kipindi cha baragumu cha channel 10. Alikuwepo kaimu mkuu wa mkoa wa Dar, bw, Said Mecky Sadiq na waandishi wa habari wawili, pamoja na mwandishi aliyekuwa anaendesha kipindi. Sehemu nilipokikuta kipindi, ilikuwa watazamaji wanapiga simu, na simu nyingi zilikuwa zinamlaumu mkuu huyo wa mkoa kwa kauli yake. Pia katika kuhitimisha mtangazaji (Salum Mwalimu), alimuuliza Bw. Sadiq, Je kutokana na maoni ya wapiga simu na waandishi waliopo studio, anakubali kuwa aliteleza kwenye kauli yake, na kuwa anai-withdraw?
Mkuu wa mkoa aligoma kuwithdraw kauli yake pamoja na kubanwa sana na waandishi waliokuwa wanamwambia kuwa kauli yake iliwaudhi.
Sasa mimi sikuweza kusikiliza kipindi tokea mwanzo ili nijue ni kauli gani aliwahi kutoa huyu jamaa. Kama kuna mtu ana details please anipe japo kwa ufupi...
Mkuu wa mkoa aligoma kuwithdraw kauli yake pamoja na kubanwa sana na waandishi waliokuwa wanamwambia kuwa kauli yake iliwaudhi.
Sasa mimi sikuweza kusikiliza kipindi tokea mwanzo ili nijue ni kauli gani aliwahi kutoa huyu jamaa. Kama kuna mtu ana details please anipe japo kwa ufupi...