Kaimu Katibu Mkuu Nishati na Madini atangazwa

Mara kajiuzuru,mara kasimamishwa na wengine kapewa likizo,na sasa mtu kateuliwa kukaimu nafasi.ok tusubili tuone.
 
HIvi jamani hii nchi ikoje Ina maana jairo mpaka sasa hajitwa hata kuhojiwa na Polisi au Taukuru.

Au na makatibu wakuu wana kinga kama wabuge wawapo bungeni kuhojiwa mpaka kibali cha ikulu?.


Who is this guys?

Maswi Maswi Maswi. mhhh huyu jamaa kuna mtu anamjua kanipa dondooo kuwa kapita foregn affairs, Kapita Wizara fedha na kafanya kazi morogoro kama mkuu wa hazina ndogo .Ana taaluma na mambo ya kihasibu.

Jamaa anasema ni mchapa kazi na anaweza kudeliver zaidi kama nchi isingekuwa chini ya Magamba. katika kizazi cha maktibu wakuu vijana wenye mawazo chanya nadhani anaweza kuhesabiwa. Jamaa anasema hajui sasa kama hajambukizwa gonjwa sugu la CCM ambalo ni UFISADI mana ni siku nyingi sana
 
hivi lini huyo katibu mkuu atafuata sheria ya kustaafu na kuachia ngazi......jk kweli anadharau sheria alipoamua kumwongezea miaka mitatu fisadi mwenzie Luhanjo............
 
Serikali inasubiri wadanganyika mmsahau Jairo,halafu arudishwe kwenye system!

Hii ni wazi serikali haina nia ya kumfanya chochote Jairo inampumuzisha kichinichini asubiri kustaafu tu. Nadhani kazi itakuwa kuiondoa hii issue kwenye public. Nadhani uchunguzi unaweza kuchukua hata miezi mitatu ili watu wsahau issue.
Inavyoonekana issue ya Jairo ni issue yenye baraka ya mkuu wake na si issue ya wizara moja wala mbili nadhani ni wizara zote nyeti zenye ulaji zitakuwa zinatumia huu mfumo kupenyeza madeal yao.

Nadhani kama taifa tunahitaji kuitumia hii issue kujua mengi zaidi yanayofanywa na serikali hii. Tunashangaa report ya CAG kila mwaka ni mbaya kwa taasisi nyingi kwa sababu ya vitu kama hivi. Hivi idara inatoa 50Mil bila kuwepo kwenye bajeti yake watakuja kuingiza vipi kwenye vitabu ili ikubalike wakati wa audit?

Nadhani tuombe mwongozo wa kambi ya CDM hapa nini wayfoward ya hii issue kwa ujumla wake?
 
Sasa atakaimu kwa siku kumi?
Hawa jamaa wanatuona sisi vibwengo!ngoja tungoje after ten days
 
vipi kuhusu waziri hausiki? ama jamaa alikuwa anafanya mambo bila waziri kuelewa? ikimaanisha no mawasiliano ktk wizara husika
 
UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTelephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.compress@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425PRESIDENT’S OFFICE,THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM.Tanzania.TAARIFA KWA VYOMBO VYA ARIKufuatia Katibu Mkuu wa Nishati na Madini, Bwana David K. Jairo, kupewa likizo kwa muda, Katibu Mkuu Kiongozi, Bwana Phillemon L. Luhanjo, amemteua Bwana ELIAKIMCHACHA MASWI, kuwa KAIMU KATIBU MKUU, Wizara ya Nishati na Madini kuanzia leo tarehe 22 Julai, 2011.Bwana MASWI, kwa sasa ni Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa.Imetolewa na Premi Kibanga,Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,Ikulu.Dar es salaam.22 Julai, 2011
changa la macho hilo.kwanin apewe likizo badala ya kushitakiwa? Ccm hao!!!!! Wanatumia wingi wao kutuburuza...
 
Ila jina mbona kama la wale jamaa wanauwawa nyamongo na hatujawai kusikia hata siku moja huyu Maswi akipaza sauti? au ni walele, au yeye ni atakuwa anagawia Wabunge wetu Rushwa bila barua kama wizara zingine? Maana kosa la Jairo hapa siyo kugawa hiyo Rushwa, kosa lake hasa ni kugawa kwa barua na ndio maana utaona katika Wabunge wote wa CCM ni mmoja tu! ndie aliyediriki kusema hayo na ninadhani watakuwa wanamwita mnoko.Kwakuwa hiyo ni kawaida yao kila bajati, Posho, Rishwa, Mshahara etc. hivi kwanini tusiingie barabarani kudai hawa wabunge wote waondoke sasa hawapo kwa maslahi ya nchni hii.
mie nadhani kwa bunge hili, wabunge hawazidi 40, kwa maana hiyo bunge livunjwe. We si unaona wabunge ambao ndiyo watengeneza sheria wengi wao vilaza
 
vipi kuhusu waziri hausiki? ama jamaa alikuwa anafanya mambo bila waziri kuelewa? ikimaanisha no mawasiliano ktk wizara husika
waziri atakosa vipi kuhusika kwa sababu wizara ni ya waziri jairo ni mtendaji tu jamani
 
Sidhani Kama Bw. Jairo alifanya yote haya bila baraka ya Waziri na Naibu wake. Tena si ajabu ni mchezo uliopo pengine na mkuu anaujua maana haiingii akilini huyu Bw. Kuwa wa kwanza.
 
Wanajamii nisaidieni hapa imekaa je, Luhanjo kuteuwa Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara. Mimi nilifikiri uteuzi unafanywa na Rais.
 
Hakuna jipya ndani ya serikali ile ile yenye mfumo ule ule na watendaji wale wale wenye uchu ule ule wa kuimaliza nchi yetu

naunga mkono hoja hii! sina imani na utendaji wa jamaa hawa maana kibovu ni mfumo wala si m2 mmoja mmoja.. na mahuni wanatumia madhaifu ya sheria zetu wanazozipitisha kwa kura ya NDIYOOOO! naishia hapa maana nikiendelea naweza hata lia kwa hasira.
 
Untitled.png
Why Luhanjo?
 
Ni uamuzi mgumu ambao wameufanya kuzima Jairo kutajwa tajwa sana. Lakini kulindana huku wanakokufanya siko. Kwani huyo si mtu kwanini wajifanye wanamfanyia utu?
 
Ni uamuzi mgumu ambao wameufanya kuzima Jairo kutajwa tajwa sana. Lakini kulindana huku wanakokufanya siko. Kwani huyo si mtu kwanini wajifanye wanamfanyia utu?
Hawamlindi Jairo.
It a cover up of ill-doings za ikulu.
Wizara Haiongozwi na Katibu mkuu.
Bajeti haandai katibu mkuu mezani kwake na kuondoka nayo asubuhi kwenda bungeni kumpa waziri asome.
 
eti huyo jamaa ni magwanda?

Huyu jamaa tulikuwa nae Mlimani T.92 alikuwa mpambanaji mzuri na isitoshe alikuwa Katibu mkuu wa DARUSO chini ya Benedicto Mutungirehi (ambaye alivutwa tai pale Nkuruma hall na kuangushwa chini na Wapambanaji). Sijui baada ya kuingia serikalini amebadilika au la!
 
je huyu mrithi wa jairo ndo atarekebisha budget hiyo au???
 
Back
Top Bottom