babad
Member
- Feb 9, 2011
- 95
- 13
[h=6]Duh!! kweli kashata za Ikulu tamu maana NCCR walipanga kuandamana kupinga kupanda kwa bei ya umeme, Baba Riz akaona isiwe inshu hawa wana hamu na kashata akawaambia wakamuone Ikulu wakaahirisha maandamano
Hivi hawajaona matokeo ya kwenda ikulu kwa waliowahi kwenda?Na kama walikuwa na hamu ya kuonana naye si wangeomba nafasi moja kwa moja kwake badala ya kutusumbua na taarifa za maandamano[/h]
Hivi hawajaona matokeo ya kwenda ikulu kwa waliowahi kwenda?Na kama walikuwa na hamu ya kuonana naye si wangeomba nafasi moja kwa moja kwake badala ya kutusumbua na taarifa za maandamano[/h]