Nimesoma kuwa Board ya kahawa wanategemea kueport kahawa before tax 320Bn!sasa najiuliza kipindi cha nyuma kulikuwa na kiwanda cha kahawa hapo Moshi,sasa hawa jamaa Kahawa yao wanaitolea wapi au ni kwa watu binafsi,serikali angalieni viwanda vyenu msije mkavisahau,Hope now kile kimebaki Gofu ukilinganisha na Mbinga pamoja na Mbozi