LENGIO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 1,096
- 508
Mgodi wa kahama mining umechimbwa chini kwa chini hadi wamefika sengerema serikali yetu ipo tuu wala hawatoi tamko lolote,mgodi wa kahama kuna ofisi chini malori yanaingia chini kutoa mchanga mgodi uko zaidi ya km 90.serikali inawataalamu pale wanaelewa lakini hakuna kinachoendelea labda tunaitaji handaki.