Habari zinakuja kwenye wire ni kuwa, mgawanyiko ndani ya ccm unaendelea kufutuka na sasa ngoma ndo mwanzo inaanza. Kwa waliodhani kuwa zile kashfa zote za kumweka Kikwete ikulu mwaka 2005 zilikufa baada ya watuhumiwa wa EPA kufikishwa mahakamani, wajiandae kwa mabomu yanayotegemewa kurushwa ndani ya wiki tatu zijazo.
Kumbuka kuwa,
Kikwete "ameshughulikia" EPA tu so far .....
Yaliyoachwa:
Kagoda, Meremeta, Deep Green Finance, 10% ya Buzwagi, safari zake za nje, etc bado hata hayajaguswa kwa vile yalimnufaisha (.....weka jina hapa...) moja kwa moja.
Kuna kigogo mmoja aliyefanyiwa umafia na Rostam Azizi kwenye kampeni zilizokwisha ameapa kumwaga mboga.
Watch this space.... na kama kawaida ya JF ...we dare to talk openly
Kumbuka kuwa,
Kikwete "ameshughulikia" EPA tu so far .....
Yaliyoachwa:
Kagoda, Meremeta, Deep Green Finance, 10% ya Buzwagi, safari zake za nje, etc bado hata hayajaguswa kwa vile yalimnufaisha (.....weka jina hapa...) moja kwa moja.
Kuna kigogo mmoja aliyefanyiwa umafia na Rostam Azizi kwenye kampeni zilizokwisha ameapa kumwaga mboga.
Watch this space.... na kama kawaida ya JF ...we dare to talk openly